• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SHIRIKA LA TFFT LAKABIDHI DARASA LINALOONGEA SHULE YA MSINGI LEMANYATA

Posted on: January 25th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Shirika lisilo la kiserikali la The Foundation For Tommorow (TFFT), linalofanya shughuli zake mkoani Arusha, limekabidhi darasa linaloongea kwa ajili ya wanafunzi wa darasa awali shule ya msingi Lemanyata, kata ya Lemanyata halamshauri ya Arusha.


Shirika hilo limekabidhi darasa hilo mara baada ya kulifanyia ukarabati na kulifanya kuwa darasa linaloongea (talking class) pamoja na samani zake, lengo likiwa ni kuhakikisha wanafunzi wanajifunza kupitia milango yote mitano ya fahamu.


Akizungumza wakati wa kukabidhi chumba hicho cha darasa na samani zake, Mkurugenzi wa shirika la TFFT ndugu Thabisani Ncubie, amesema mradi huo uliogharimu shilingi milioni 6.4, una lengo la kuwawezesha wanafunzi wa darasa la awali kupata ujuzi na maarifa kwa wepesi zaidi kupitia zana zilizopo katika darasa hilo.


Amesema kuwa, Shirika linaunga mkono juhudi za serikali za kuhakikisha mtoto wa darasa la awali anapata maarifa ya kujua kusoma, kuandika na kuhesabu kabla ya kuingia darasa la kwanza.


"Tumeamua kuwezesha wanafunzi kufahamu KK tatu, yakiwa ndio malengo ya serikali ya awamu ya sita kwa wanafunzi wa elimu ya msingi, tunaamini darasa hili litakuwa nyenzo muhimu kwa watoto kujifunza kwa urahisi" Amefafanua Mkurugenzi Mcubie.

Hata hivyo akizindua darasa hilo Kaimu Mkurugenzi na Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu, halmashauri ya Arusha Elizabeth Ngobei, amesema kuwa darasa hilo ni utekelezaji wa malengo ya serikali ya kuwa na mazinhira rafiki ya kufundishia na kujifunzia kupitia milango yote ya fahamu.


Serikali inatambua na kuthamini michango ya wadau ya kuboresha miundombinu katika sekta ya elimu inayowawezesha wanafunzi kujifunza kwa ufanisi na urahisi zaidi na kuwataka wadau kuendelea kusaidia kutatua changamoto za kijamii hususani kwenye sekta ya elimu.

"Kazi kubwa sasa iko kwenu walimu, kuwafundisha watoto hawa ili kugikia ndoto zao na malengo ya serikali lakini zaidi mnalo jukumu la kusimamia watoto kulitunza darasa na vifaa vyake ili vitumike kwa muda mrefu" Amebainisha Elizabeth


Naye Mwalimu wa darasa la awali mwl. Mwanaidi Mndeme amesema uwepo wa darasa hilo utamrahisishi kufundisha huku akiamini wanafunzi kuelewa kwa urahisi kupitia zana zinazohusisha milango yote ya fahamu.


"Mtoto anavutiwa zaidi kujifunza katika mazingira mazuri lakini zaidi kupitia zana kama hizi picha, vitu halisi  pamoja na michezo, vifaa ambavo vipo darasani hapa". Amesisitiza Mwl.Mdeme


Naye Mwenyekiti wa Kamati ya shuoe ya Msingi Lemanyata Philioo Ngaya, hakusita kushukuru na kuahidi kushirikiana na walimu  kulitunza darasa hilo ili kufikia malengo yaliyokusudiwa.


Mwalimu Mkuu shule ya Msingi Lemanyata Mwl. Elisaria Mmari, amesema kuwa shule ya hiyo ina jumla ya wanafunzi 1,030, idadi inayosababisha upungufu wa vyumba madarasa shuleni hapo na kuwaomba wadau hao kuendelea kusaidia kutatua changamoto hiyo.


ARUSHA DC Yetu, Tushirikiane Kuijenga'

KaziInaendelea ✍✍



Kaimu Mkurugenzi na Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu, halmashauri ya Arusha Elizabeth Ngobei, akikata utepe kama ishara ya kuzindua Darasa Linalongea tayari kwa kunza kutumiwa na wanafunzi wa darasa la awali shule ya Msingi Lemanyata.






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.