• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA ZOEZI LA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTIKODI

Posted on: February 18th, 2022

TANGAZO LA AJIRA ZA MUDA NA POSTIKODI.

Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, anawatangazia Watanzania wote wenye sifa zinazohitajika na wenye nia yya kufanya kazi ya zoezi la Anwani za Makazi katika Kata na Vijiji vya Halmashauri ya Arusha, kuomba nafasi hizo.

A: SIFA ZA MWAOMBAJI

1. Awe Raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 18 -35

2. Awe amemaliza Kidato cha 4 na kuendelea

3. Awe anajua Kusoma na Kuandika

4. Awe anamiliki simu Janja yenye sifa ya Android 7 na uwezo wa kukaa na chaji kwa siku nzima

5. Awe na Uwezo wa kutumia simu Janja6. Awe na Akili timamu.7. Awe na barua pepe ( email) na nywila (password) inayofanya kazi.

B: KAZI NA MAJUKUMU:-

1. Kugawa /Kuandika namba za nyumba, viwanja na maeneo ya huduma

2. Kukusanya taarifa za nyumba, Viwanja na maeneo ya huduma

3. Kukusanya taarifa za wamiliki wa nyumba na maeneo ya huduma kwa kutumia Mfumo wa Anwani za Makazi.

4. Kutuma Data kwenye Mfumo wa Anwani za Makazi

C: MAOMBI YAAMBATANISHWE NA :-

1. Nakala ya Cheti cha Kidato cha Nne na cheti cha taaluma.

2. Nakala ya cheti cha Kuzaliwa3. Picha ( passpory size 2)

3. Kwenye barua ya maombi, Mwombaji aandike namba zake za simu zinazopatikana.

D: MALIPO:-

1. Malipo ya Ajira ya muda ni Tsh. 10,000/= kwa siku

E: JINSI YA KUTUMA MAOMBI:-

1. Barua zote za maombi ziandikwe kwa mkono zikiwa na Anwani kamili ya mwombaji.

2. Barua ya maombi ipitishwe kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji husika na kuiwasilisha barua hiyo kwa Afisa Mtendaji wa Kata husika.

.3. Mwombaji anashauriwa kuomba nafasi kwenye Kata anayoishi

F:MAOMBI YOTE YATUMWE KWA ANWANI IFUATAYO:-  

Mkurugenzi Mtendaji (W) Halmashauri ya Arusha,

S.L. P 2330, 

ARUSHA.

G: TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI:-

Mwisho wa kupokea yote  maombi ni tarehe 24.02.2022 saa 09:30 Alasiri.





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.