• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TASAF YAWAHAKIKISHIA HEDHI SALAMA WASICHANA WA KAYA MASIKINI.

Posted on: December 17th, 2022

Na Elinipa Lupembe


Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kwa ufadhili wa shirika la watoto Duniani (UNICEF) wametoa vifaa vya kujisitiri wakati wa hedhi kwa wasichana 12, 943 wanaotoka kwenye kaya zilizo kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini.


Akizungumza wakati wa kukabidhi taulo hizo, kwa wasichana wa kata ya Kiutu, Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi ameishukuru serikali kupitia TASAF kwa kutoa vifaa hivyo ikiwemo taulo za kike, vifaa ambavyo vinawahakikishia watoto kuwa na hedhi salama isiyo na vikwazo.

Ameongeza kuwa vifaa hivi ni mkakati wa serikali wa kuhakikisha mazingira bora ya wanafunzi kupata elimu bila kikwazo na kuhakikisha watoto wote wanahudhuria masomo pasi kuwa na tatizo la kiafya hususa kipindi cha hedhi.

"Serikali inahakikisha kila mwanafunzi anahudhuria masomo mwaka mzima, bila kuwa na vikwazo, hivyo tunzeni viafaa hivyo, kwa kuhakikisha vinawasidia, bila

Hata hivyo wanafunzi hao, wamemshukuru mheshimwa Rais Dkt. Samia Suluhu kupitia TASAF kwa masaada huo, ambao wamebainisha kuwa ni kiwafanya watoto wa kaya masikini kupata mahitaji sawa na watoto wengine.

Catherini Felix msichana aliyehitimu kidato cha IV mwak huu 2022 shule ya sekondafi SOKON II, baadhi ya wazazi wamekuwa wakishindwa kumudu kuwanunulia watoto wao wa kike, vifaa salama wakati wa hedhi kutokana na uwezo wa kifedha kuwa mdogo, lakini serikali imekuja kuwasaidia wasichana wengi kutoka famili zisizo na uwezo mkubwa kifedha.

Baadhi ya wasichana  hushindwa kuja shuleni wkati wa hedhi kutokana na kukosa taulo za kike, na kuwafanya kushindwa kufanya vizuri kitaaluma sawa na wavulana" .Amefafanua Lightnes Maina msichana aliyehitimu kidato cha IV mwaka huu Sekondari Sokon II.

Awali Mratibu wa TASAF Halmashauri ya Arusha, Grace Makema, amethitisha kupokea vifaa vya wasichana 12, 943 kwa ajili ya wasichana walio kwenye kaya 12, 288 zinazonufaika na Mpango wa Kunusuru kaya Maskini  kwenye vijiji 88 vya halmasahuri hiyo.

Ifahamike kuwa Miradi ya serikali inayotekelzwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ni utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi katika kusimamia Serikali kutekeleza Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi katika kukabiliana na changamoto za umasikini kwa wwananchi nchini


ARUSHA DC

KaziInaendelea✍






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.