• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Tumaini Jipya chachu ya Maendeleo Halmashauri ya Arusha

Posted on: March 7th, 2018

Shirika lisilo la kiserikali la Tumaini Jipya lenye makazi yake kata ya Olkokola halmashauri ya Arusha limeonesha kuridhishwa na utekelezaji wa shughuli za kuwahudumia wananchi zinazofanya na halmashauri hiyo tangu kuanzishwa kwake.

Akizungumza kwa njia ya mtandao mkurugenzi na mwanzilishi wa shirika hilo Bi. Louise Richardson raia wa Uingereza amesema kuwa ameridhishwa na utekeleza shughuli za kuwahudumia wananchi katika halmshauri ya Arusha kwa ili kutatua changamoto za huduma za kijamii zinazowakabili wananchi hasa wa maeneo ya vijijini.

Louise ameoneshwa kuridhishwa zaidi na utekelezaji wa mradi wa maji wa vijiji vitano mradi ambo yeye binafsi ndiye chanzo cha upatikani wa ufadhili wa mradi huo kutoka nchini kwake Uingereza, baada ya kushuhudia adha ya maji wanaipata hasa watoto wakike wawapo shuleni na kuamua kurudi nchini kwao kutafuta fedha za kutekeleza mradi wa maji.

Hata hivyo Louise amesema hayo baada ya kupokea taarifa kutoka kwa mkuu wa Kitengo cha huduma ya Jamii 'DFID' Bi. Getrude Mapunda aliyetembelea na kukagua maendeleo ya utekelezaji wa mradi huo wa maji mwishoni mwa wiki iliyopita, ameanza kuona upatikanaji wa huduma ya maji katika vijiji hivyo ambavyo kiuhalisia wana shida kubwa ya upatikani wa maji safi na salama.

Amesisistiza kuwa lengo hasa la shirika la Tumaini Jipya ni kushirikiana na serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kuhakikisha huduma zote za jamii zinawafikia wananchi hasa waishio vijijini na kufafanua kuwa endapo mradi huo utatekelezwa kwa wakati na kwa viwango na jamii kushiriki katika utunzaji na uchangiaji wa huduma za maji ili huduma hizo ziwe endelevu, serikali ya Uingereza itaendelea kutoa misaada mingi kupitia shirika lake la Tumaini Jipya.

Shirika la Tumaini Jipya limekuwa likifadhili shughuli mbalimbali za maendeleo ikiwemo uwekaji vioo kwenye vyumba vya madarasa shule ya msingi Olbaki pamoja na kweka miundombinu ya umeme kwenye nyumba za walimu wa shule hiyo pamoja na zahanati ya kijiji cha Lengijave .

Licha ya misaada hiyo Louise ametoa msaada wa mashine ya kusaga nafaka ili kutatua changamoto inayowakabili wakazi wa kijiji cha Lengijave ya kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo, mradi huo utakaoanza kufanya kazi mara baada ya mchakato wa kuingiza umeme kukamilika.

Hata hivyo Louse amesema kuwa shirika la Tumaini Jiya liko tayari kuendelea kutoa misaada mbalimbali ya kijamii kwenye sekta za elimu, afya na maji nchini Tanzania kutokana na mapenzi mema aliyonayo hasa kwa wananchi wa kijiji cha Lengijave eneo ambalo amewahi kuishi kama 'volontia'.

Bi. Louise ambaye ni Diwani nchini Uingereza, ndiye chimbuko hasa la mradi wa maji wa vijiji vitano baada ya kukerwa na changamoto ya ukosefu wa maji hasa kwa watoto wakike wawapo shuleni na kuamua kurudi nchini kwao kutafuta fedha, Mradi wa maji wa vijiji vitano unafadhiliwa na serikali ya Uingereza kupitia wa na Idara ya Maendeleo ya kimataifa 'DFID' na kutekelezwa na shirika la WaterAid- Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.