• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ubalozi wa Japani nchi Tanzania watoa Mililioni 191.9 kumalizia ujenzi wa kituo cha Afya Manyire

Posted on: April 12th, 2018

Zoezo la ujenzi wa miundombinu ya kituo cha Afya Manyire kata ya Mlangarini, limeanza kwa kasi kubwa mara baada ya halmashauri ya Arusha, kupata fedha kutoka serikali ya Japani kupitia Ubalozi wa Japani nchini Tanzania.    

Ubalozi huo wa Japani umetoa fedha kiasi cha shilingi milioni 191.9, kwa ajili ya ukamilishaji wa ujenzi wa jengo hilo la kituo cha afya Manyire, mkataba uliosainiwa na pande zote mbili mwezi Machi,2018.          

Afisa Mipango, halmashauri ya Arusha Anastazia Tutuba, amefafanua kuwa fedha hizo zitatumika kumalizia ujenzi pamoja na kununua samani.        

 "Katika milioni 191.9,kiasi cha shilingi milioni 143.9 kitatumika katika umaliziaji wa jengo hilo na shilingi milioni 48 zitatumika kununua samani za ndani ikiwemo vitanda vya wodi zote na chumba cha upasuaji" amethibitisha Afisa Mipango.     Ameongeza kuwa, kituo hicho cha Afya kitaanza kutoa huduma, mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu ya jengo hilo.   

Mhandisi wa Ujenzi halmashauri ya Arusha, Mhandisi Bibie Manzi, amesema kuwa kwa upande wa ujenzi, fedha hizo zitatumika kuweka sakafu kwenye kuta za jengo lote pamoja na sakafu ya chini, kuweka malumalu kwenye sakafu,  dari, milango na madirisha pamoja na miundo mbinu yote ya maji na umeme mpaka kukamilika kwa jengo hilo.     

Aidha Mhandisi Manzi amesema kuwa jengo hilo linategemea kukamilika mwanzoni mwa mwezi Septemba mwaka huu wa 2018. 

Naye mganga mlezi wa kituo cha Afya Manyire, Dkt. Jafet Champanda, amesema kuwa, mara baada ya kukamilika kituo hicho, kinategemea kuhudumia zaidi ya watu elfu 6 na kaya 1200 zenye wastani wa watu watano kwa kila kaya wa kata ya Mlangarini na kijiji cha cha Marurani kata ya Nduruma.      

Aidha Champanda ameongeza kuwa,  kituo hicho cha afya kinategemea kutoa huduma zote za wagonjwa wa nje 'OPD' na kulaza jumla na kuongeza kuwa, kituo hicho kitakuwa na uwezo wa kulaza jumla ya wagonjwa 56 kwa wakati mmoja.         

Awali umaliziaji wa kituo hicho cha Afya, unakwenda sambamba na mkakati wa serikali ya awamu ya tano,wa kuhakikisha kila kata inakuwa na kituo cha afya chenye sifa ya nyota tano, kwa lengo la kuhakikisha wananchi wanapata huduma zote muhimu za afya ndani ya kata zao pamoja na kupunguza vifo vya mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.