• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Uchimbaji wa visima mradi wa maji wa WaterAid, viashiria vya kupata maji wakazi wa vijiji vitano Arusha DC

Posted on: March 6th, 2018

Uchimbaji wa visima viwili vya maji unaendelea kwa kasi katika shamba la mbegu Ilkiushini kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji unaotekelezwa na shirika la WaterAid jambo linaloashiri upatikani wa maji kwa wakazi wapatoa 50,000.

Mradi huo wa maji unatekelezwa kwenye vijiji vya Olkokola na Lengijave na vitongoji vya Olmotonyi, Ekenywa na Seuri vya Mamlaka ya Mji Mdogo Ngaramtoni kwa gharama ya shilingi bilioni 4.5 kwa ufadhili wa serikali ya Uingereza kupitia Idara ya Maendeleo ya Kimataifa 'DFID'.

Wakati huo huo serikali kupitia Wizara ya Maji na Umwagiliaji imeongeza kiasi cha shilingi bilioni 1.3 kwa ajili ya kuongeza nguvu ya ujenzi wa mradi huo ili kWakatiuwafikia wananchi wengi zaidi na kuwezesha kutumia chanzo cha maji cha Emutoto kilichopo kwenye msitu ndani ya hifadhi ya mlima Meru licha ya mradi huo kutumia vyanzo hivyo viwili vya kuchimbwa.

Mradi huo unategemea kukamilika mwishoni mwa mwaka huu 2018 na kuhudumia takribani wakazi 50,000 ambao watapata maji ndani ya mita 400 na kutekeleza mpango wa serikali ya awamu ya tano wa kuhakikisha asilimia 90% ya wakazi wa vijiji kupata maji safi na salama ifikapo mwaka 2025.

Hata hivyo mradi huo utaambatana na teknolojia mpya ya kuchangia gharama za maji kwa kutumia mfumo wa kulipa kabla ya kutumia, mfumo unaojulikana kama eWaterpay utakaowekwa na shirika la eWater - Tanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.