Na Elinipa Lupembe
Maendeleo ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa shule ya Sekondari Oljoro yanaenda kwa kasi, ukiwa katika hatua ya kupandisha kuta.
Mradi huu unajumuisha vyuma viwili vya madarasa, viti, meza na ofisi ya walimu kwa gharamua ya shilingi milioni 40, fedha kutoka serikali Kuu, maarufu kama 'POCHI LA MAMA' kwa ajili ya maandalizi ya kuwapokea wananfunzi wa kidato cha kwanza ifikapo Januari 2023.
ARUSHA DC
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.