Wajumbe wa Baraza la Madiwani halmashauri ya Arusha wamekubaliana kutoa ushirikiano mkubwa kwa wataalamu wa halmashauri ya Arusha katika kusimamia Miradi kwa kupitia Mfumo Mpya wa Ruzuku ya Serikali ya Miradi ya Maendeleo 'Local Government Development Grant ' (LGDG ) pamoja na kusimamia Mpango Mkakati wa Halmashauri ambao umeonyehs adira na mwelekeo wa halmashauri kwkipindi cha miaka miatano.
Hayo yamethibitishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Arusha Mh. Noah Lembris wakati wa Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani kwa ajili ya Mafunzo ya siku moja ya Mfumo Mpya wa ruzuku ya serikali ya Miradi ya Maendeleo pamoja na kupitisha Mpango Mkakati 'Strategic Plan' ya halmashauri uliofanyika katika ukumbi wa mikutano Halmashauri ya Arusha.
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.