• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Wadau kutoka nchini Uingereza watembelea mradi wa Maji Arusha DC

Posted on: May 26th, 2019

Na. Elinipa Lupembe.

Kundi la Wadau wa maji wa shirika la WaterAid,  kutoka nchini Uingereza 'Water Supporters', wametembelea mradi mkubwa wa maji wa Vijiji Vitano, unaotekelezwa na shirika hilo  ndani ya halmashauri ya Arusha, na kujionea shughuli za utekelezaji wa mradi huo zinavyoendelea.

Wadau hao, wamefanya ziara hiyo kwa lengo la Kuangalia jinsi, utekelezaji wa mradi huo unavyoweza kuhudumia wananchi kwa wakati wote na kwa kipindi cha muda kirefu.

Akizungumza na wadau hao, wakati wa ziara hiyo, Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha, Dkt. Wilson Mahera, amesema kuwa, mradi huo ni mkubwa, kuwahi kutekelezwa katika halmashauri yake, ukiwa na teknolojia ya malipo ya kabla, teknolojia inayoaminika kuwezesha upatikanaji wa maji wa uhakika  muda wote, pamoja na  kuhudumia wananchi wengi kwa miaka ishirini ijayo.

Ameongeza kuwa, utekelezaji wa mradi huo, umetoa fursa ya ushirikishwaji wa wananchi wa eneo nufaika la mradi, kwa kuwajulisha hatua kwa hatua katika utekelezaji wa mradi huo, jambo linalowafanya wananchi kufahamu vizuri mradi huo.

Hata hivyo, wadau hao, wameridhishwa na utekelezaji wa mradi huo wa maji huku wakipongeza zaidi, ushirikishwaji wa wananchi katika hatua zote za mradi, pamoja na teknolojia ya malipo ya kabla, itakayowezesha uhakika wa jamii kupata maji kwa miaka ishirini ijayo.

Mradi wa maji wa vijiji vitano, unatekelezwa katika halmashauri ya Arusha, kwa ufadhili wa serikali ya Uingereza kwa gharama ya shilingi bilioni 8.4, unategemea kukamilika mwaka huu wa 2019 na kuhudumia watu elfu hamsini na kufikia asilimia 70 ya wananchi wa halmshauri hiyo kupata maji safi na salama



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.