• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WALENGWA WA TASAF WATAKIWA KUTIMIZA MASHARTI YA MPANGO ILI KUFIKIA MALENGO YA SERIKALI

Posted on: August 24th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini, mradi unaotekelezwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF, wametakiwa kutimiza masharti ya ruzuku ya fedha wanazozipokea ili kuimaarisha sifa za kuendelea kuwa kwenye mpango pamoja na kufikia malengo ya serikali..


Akizungumza wakati wa zoezi la ugawaji wa ruzuku ya dirisha la 13/14, Mratibu wa TASAF halmashauri ya Arusha, Grace Makema, amesema kuwa, TASAF inatoa fedha hizo kwa walengwa walio kwenye mpango, zikiwa na masharti ya kutimiza, ili mlengwa aendelee kuwa na sifa za kupokea ruzuku hiyo pamoja na kufikia malengo ya kuondoa umaskini nchini


Amewataka walengwa hao kuzingatia masharti hayo, ikiwa ni pamoja na masharti ya afya kwa kaya zenye watoto wa kuanzia miaka 0-5, kwa kuhakikisha watoto hao, wanahudhuria kliniki kwa kipindi chote, pamoja na kupata chanjo zote stahiki kwa miaka hiyo mitano.


Ameongeza kuwa, kaya pia zinatakiwa kuzingatia masharti ya elimu, kwa kaya zenye watoto wa miaka 6-18, kuhakikisha wanakwenda shule na kuhudhuria masomo ya kwa siku zote bila kukosa huku wakiwapatia watoto hao mahitaji muhimu ya shule.


"TASAF imeandaa utaratibu wa kufanya Warsha za Jamii, ili kutoa mafunzo kwa walegwa kila wakati wa zoezi la kugawa ruzuku, hivyo tunasisitiza kila mlengwa kuhudhuria warsha za jamii, ili kuendelea kupata ufahamu zaidi wa huduma zinazotolewa na mpango, haki, wajibu na umuhimu wa kutimiza masharti ya ruzuku" Amefafanua Mratibu Grace.


Hata hivyo walengwa wa kijiji cha Nduruma wameipongeza, serikali kupitia TASAF kwa kuziwezesha kaya zao kiuchumi, huku wakiendelea kupewa elimu ya matumizi ya fedha na kutambua haki na wajibu wao kama wanufaika wa mpango huo,


Naye Mwenyekiti wa halmashauri ya Arusha, Mhe. Dkt. Ojung'u Salekwa, amewakumbusha wanufaika hao kutumia fedha hizo za ruzuku kwa malengo, huku wakihakikisha kiasi kidogo kinawekwa kama mbegu ya kuanzisha miradi midogo ambayo itawezesha fedha hiyo kuendelea kujizalisha jambo ambalo litasaidia kuinua uchumi na pato la familia.


"Ni ukweli pesa haijawahi kutosha, ukishindwa kutunza kidogo unachokipata hata ukipewa kikubwa hutaweza, kinamama serikali inawaamini na kuwapa dhamana ya kuwa wasimamizi wa kaya zenu, jiwekeeni akiba kupitia vikundi vyenu"


PICHA ZA MATUKIO WATALAMU WAKITOA WARSHA ZA JAMII KWA WANUFAIKA WA TASAF WAKATI WA MALIPO










Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.