• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI KIJIJI CHA BWAWANI WAISHUKURU SERIKAILI KUWAONDOLEA CHANGAMOTO YA UHABA WA MADARASA SHULE YA MSINGI OLOKII

Posted on: May 20th, 2023

Wananchi wa Kijiji cha Bwawani Kata ya Bwawani, wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwajengea Vyumba vitatu vya madarasa na matundu matatu ya vyoo shule mpya ya msingi Olokii na kuondoa changamoto ya uhaba wa vymba vya madarasa uliyokuwa inaikabili shule hiyo.

Wananchi hao wamefurahishwa sana na Ujio wa Mradi huo ambao unatekelezwa kwa gharama ya shilingi milioni 75 fedha kutoka Serikali Kuu kupitia Mradi wa Kuboresha Upatikanaji wa fursa sawa katika Ujifunzaji bora kwa Elimu ya Awali na Msingi Tanzania Bara (BOOST) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa miundombinu kwenye shule 6 za msingi za halmashauri ya Arusha ambapo shule hiyo ilikuwa na vyumba viwili tu vya madarasa.

Akizungumza na mwandishi wetu wakati ujenzi wa Mradi huo unaanza, Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Sarianda Sikoi amesema kuwa mradi huo utaleta tija kubwa kwa wakazi wa Kijiji hicho kwani watoto watapata fursa ya kusoma kwa uhuru kwasababu changamoto hiyo ya upungufu wa vyumba vya madarasa itakuwa imepungua kwa kiasi kikubwa hali itakayopelekea shule hiyo kuwa na uhaba wa vyumba viwili vya madarasa.


Hata hivyo ametumia fursa hiyo kuishukuru Serikali pamoja na wafadhili wa Mradi huo na kuiomba Serikali kuendelea kutupia macho katika shule hiyo na kuwajengea nyumba za walimu ili waweze kuishi karibu na shule kwani walimu wananishi mbali na eneo la shule.

“Tunaomba Serikali itujengee nyumba za walimu kwasababu kwa kipindi hiki tuna nyumba moja tu ya mwalimu mkuu na walimu wengine wanaishi kwenye nyumba za wakazi wanaotuzunguka”. Amesema Mwalimu mkuu huyo.

Naye Mwenyekiti wa Kitongoji cha Olmapinu, Mhe. Lazaro Mathayo amebainisha kuwa mazingira ya watoto wa kitongoji hicho yalikuwa magumu hasa kwa watoto kwani walilazimika kutembea umbali mrefu Kwenda shule jirani hivyo ujio wa Mradi huo utasaidia watoto wa jamii hiyo kuondokana na ujinga na kufikia malengo ya Serikali kwaajili ya Watanzania wote.


Aidha, wanafunzi wa shule hiyo nao wameishukuru Serikali kwa kuwaletea mradi huo ambao utawapa fursa ya kupata elimu kama watoto wengine na kuwasaidia kutimiza ndoto zao.


“Tunaishukuru Serikali kwa kutukumbuka na kutujengea madarasa, hapo awali tulikuwa tunapata shida ya kutembea umbali mrefu lakini sasa tutasoma vizuri tukiwa darasani badala ya kusomea nje”. Alisema mmoja wa wanafunzi wa shule hiyo, Faiza Omary.


Awali, Halmashauri ya Arusha ilipokea kiasi cha shilingi milioni 682.5 kutoka Serikali Kuu kwaajili ya kutekeleza miradi hiyo katika shule sita za msingi halamsahuri ya Arusha.


ARUSHA DC ni Yetu, Tushirikiane Kuijenga"

KaziInaendelea




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.