• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WA KIJIJI CHA OLKOKOLA WATEKELEZA KAMPENI YA UPANDAJI MITI MWAKA 2023......

Posted on: April 13th, 2023

Na Elinipa Lupembe

Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, ameongoza zoezi la upandaji Miti, katika viwanja vya shule mpya ya sekondari Kijiji cha Olkokola kata ya Lemanyata ikiwa ni muendelezo wa Kampeni ya upandaji miti mwaka 2023.

Mkurugenzi Msumi ameelezea hali ya uharibifu wa mazingira uliokithiri nchini, huku madhara yake yakianza kujidhihirisha wazi, kutokana na hali ya ukame inayosababbishwa na ukosefu wa mvua na maeneo mengine mvua kubadili misimu yake.

Amesema kuwa Serikali imejipanga kupambana na mabadiliko ya tabia nchi,  kwa kuwaelimisha na kuhamasisha jamii kupanda miti, kwa kuhakikisha wananchi wote wanapanda miti kwenye maeneo yate yanayowazunguka, ikiwemo nyumbani, kwenye taasisi za Umma na binafsi pamoja na kuitunza miti hiyo.

Aidha amewasisitiza  wananchi wote kuhakikisha wanaungana na  Serikali katika kukabiliana na uharibifu wa mazingira kwa kupanda miti katika maeneo yote yanayowazunguka pamoja na kuitunza.

"Miti tuliyoipanda tunatakiwa kuitunza mara nyingi Serikali inatoa miti na kufanya Kampeni za upandaji miti, lakini utunzaji unakuwa hafifu, hivyo ni jukumu letu kusimamia utunzaji wa miti iliyopandwa kwa manufaa yetu na vizazi vijavyo". Amesisitiza Msumi.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji cha Olkokola Mhe. Thomas Meirura, ameahidi kuwasimamia wananchi wote kupanda miti kwenye maeneo ya wazi, mashamba na nyumbani pamoja na utunzaji wa miti hiyo.

"Tunashukuru Serikali kutuletea miti,  kuna maeneo yamekatwa miti sana, hivyo tunakwenda kupanda miti hii, na kuhakikisha inakua kwa manufaa yetu, tumefahamu umuhimu wa miti kwenye mazingira yetu, tuaahidi kuitunza" Ameeka wazi Mwenyekiti .

Awali Afisa Programu ya wa  Mtandao wa Vikundi vya Wakulima na Wafugaji mkoa wa Arusha ( MVIWAARUSHA), Damian Sulumo, amesema kuwa taasisi yao imeandaa mpango wa kupanda miti kwenye vijiji 8 vya halmashauri ya Arusha kwa awamu ya kwanza.


Mti wangu, Taifa langu, Mazingira yangu, KaziIendelee









Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.