• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WATAKIWA KUTOA MAONI KUBORESHA SERA ZA KODI NA UWEKEZAJI

Posted on: April 11th, 2025

WANANCHI WATAKIWA KUTOA MAONI KUBORESHA SERA ZA KODI NA UWEKEZAJI


Wananchi na wadau wengine kutoka ndani na nje ya nchi wametakiwa kutumia fursa iliyotolewa na Serikali, ya kutoa maoni na kuwasilisha mapendekezo yao ya kuboresha sera za kodi kwa kuwa Serikali inaendelea kupokea maoni hayo ili kukuza uchumi wa nchi.


Rai hiyo ilitolewa na Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, wakati akizungumza na Wadau wa sekta wa Habari, katika Ofisi za Hazina Ndogo, jijini Arusha ikiwa zimebaki siku chache kuelekea Kongamano la Pili la Kodi na Uwekezaji , litakalofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 15 April, 2025.


Alisema kuwa kuanzishwa kwa Kongamano la Kodi kumeleta tija katika maboresho ya mfumo wa kodi ambapo katika maandalizi ya Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ushirikishwaji wa wadau uliongezeka zaidi huku ukileta manufaa mbalimbali kiuchumi.

‘’Wakati tunaanza Kongamano hili, chini ya Serikali inayoongozwa na Rais wetu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mwaka 2022, kupitia sera mbalimbali tulizorekebisha, miradi zaidi ya 293 ilisajiliwa na Kituo chetu cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Mwaka, 2023, miradi zaidi ya 526 ilisajiliwa, mwaka 2024 ambapo miradi zaidi ya 901 ilisajiliwa pia’’ alisema Bw. Mwandumbya.


Alieleza kuwa, mapato ya ndani kwa mwaka 2022/23 yalikuwa shilingi trilioni 26.3, mwaka 2023/2024 yalikuwa shilingi trilioni 29.8 sawa na ongezeko la asilimia 13.5.


Aidha, alisema kuwa katika kipindi cha kuanzia Julai 2024 hadi Februari 2025 mapato ya ndani yalikuwa shilingi trilioni 22.579.

Aliongeza kuwa Kogamano la Kodi Kitaifa kwa mwaka huu, linatarajiwa kuwashirikisha wadau mbalimbali zaidi ya 1,000 kama sehemu ya walengwa wa masuala ya kodi na uwekezaji ili kuendelea kuboresha mfumo wa kodi kwakuwa lengo ni kukuza uchumi wa nchi na wananchi kwa ujumla.

"Kazi yetu ni kuwafikia wananchi, wafanyabiashara na wadau mbalimbali katika kuhakikisha kuwa tunakusanya maoni yatakayofaa kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu, azma ambayo tumeona ni vyema kuichukua kwa mwaka huu, tunalenga kuongeza ukuzaji wa rasilimali za ndani kwa kustawisha fursa za wananchi’’ alisema Bw. Mwandumbya.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.