• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAUME KIJIJI CHA ENGALAONI WAKIRI KUPATA UELEWA UMUHIMU WA MAMA KUMNYONYESHA MTOTO MIEZI 6 YA MWANZO BILA KUMPA CHAKULA KINGINE

Posted on: August 7th, 2020

Na. Elinipa Lupembe.
    Wanaume kijiji cha Engalaoni kata ya Mwandeti wamejitokeza kwa wingi kwenye kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani na kukiri kupata uelewa mkubwa juu ya umuhimu wa mama kumnyonyesha mtoto miezi 6 ya mwanzo bila kumpa chakula kingine chochote.
   Mafunzo ya unyonyeshaji yaliyotolewa kwenye sherehe za Kilele cha Maadhimisho hayo, yaliyofanyika kwenye Kijiji cha Engaloni, yamevuta hisia za wananume hao, kwa kushangazwa na kuchelwa kufahamu, umuhimu wa kunyonyesha mtoto kwa miezi sita ya mwanzo bila kumpatia mtoto chakula kingine wala maji ya kunywa.
    Wamesema kuwa, wamekuwa wakisikia kina mama wakisemasema hayo, lakini hawakuamini kama inawezekana, mtoto kuishi miezi sita bila kunywa hata maji, jambo ambalo wamekiri kuwafungua ufahamu na kukubali mabadiliko hayo kufanyika kwenye familia zao.
   "Tumekuwa tukisikia kina mama wakisema wanantakiwa kunyonyesha mtoto miezi sita bila kumpa hata maji ya kunywa lakini tulidhani ni kitu ambacho hakiwezekani kwa binadamu kuishi bila kunywa hata maji miezi sita, kwa elimu hii, imetuondoa gizani, tumepata ufahamu mkubwa, tutaanza kuufanyia kazi kwenye familia zetu" . Wamesema wanaume hao wa Engalaoni
      Aidha wamekiri kufahamamu pia, faida za kumnyonyesha mtoto miezi sita ya mwanzo bila kumpa chakula kingine ikiwa ni pamoja na kuimarisha kinga ya mwili itakayo mkinga mtoto dhidi ya kushambuliwa na maradhi, kuimarisha akili ya mtoto pamoja na mwili wa mtoto kuimarika kimakuzi.
     Lakini pia wanaume hao, wamesikitishwa na madhara makubwa  yanayoweza kumpata mtoto asiponyonyeshwa kwa utaratibu, na kupata madhara makubwa katika maisha yake,  ikiwemo kuharibu mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwa mtoto, udumavu wa mwili na akili kwa mtoto, jambo ambalo wamethibitisha linaweza kuepukika kupitia elimu ya unyonyeshaji waliyoyapata.

   Hata hivyo wanaume hao, wamesema kuwa wako tayari kubadilika na kushirikiana na mwanamke katika kipindi chote cha ujauzito, kujifungua na kipindi cha siku 1000 za kunyonyesha, sambamba na kumuwezesha mama kupata lishe bora ili mtoto apate maziwa yenye virutubisho vya kutosha kwa afya ya mtoto na jamii wa maendeleo ya Taifa.
    Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Unyonyeshaji Duniani 2020, yamefanyika kwenye kijiji cha Engalaoni kata ya Mwandeti na Kijiji cha Lemanyata kata ya Olkokola, halmashauri ya Arusha huku jumla ya vijiji 14 vkiwa vimepata mafunzo rasmi ya unyonyeshaji katika wiki nzima ya maadhimisho ua unyonyeshaji Duniani.


PICHA ZA MATUKIO KIJIJI CA ENGALAONI








Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.