• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAWAKE WANUFAIKA WA TASAF NDURUMA WAMSHUKURU MAMA SAMIA......

Posted on: August 25th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Wanawake wanaonufaika wa mpango wa Kunusuru Kaya Masikini, mradi unaotekelezwa na TASAF kijiji cha Nduruma, wamemshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na serikalia yake kwa kuwajali kutokana na uwezo wao mdogo wa kumudu gharama za maisha huku wakithibitisha fedha hizo kuwasaidia kuhudumia familia zao hususani kipindi cha ukame mkali kilichopita mwaka huu.


Fatuma Omari, amemshukuru mama Samia na kuweka wazi kuwa fedha hizo zimewawezesha kina mama wengi kuwa wajasiriamali kwa kuanzisha biashara mbalimbali kupitia vikundi vyao vya kuweka na kukopa, vikundi ambavyo vinawawezesha kupata mitaji.


Naye Aisha Mollel licha ya kumshukuru mama Samia amesema kuwa fedha hizo za ruzuku zimesaidia familia nyingi kujikimu na mahitaji ya familia zao hususani chakula katika kipindi cha ukame uliotokea maeneo mengi na kusababisha kukosa chakula


"Wengi wetu hapa tunategemea kilimo ili kupata chakula mwaka uliopita hakukuwa na mvua, tumepita kipindi cha ukame, lakini kupitia fedha za TASAF familia hazijayumba tuliweza kununua chakula na mahitaji mengine ya familia". Amefafanua Aisha


"Tunamshukuru mama Samia, tunamuombea kwa Mungu, kwa kutupa fedha hizi, sisi kina mama hasa na familia zetu hatudhaliliki tena, watalaka, waliotelekezwa  wajane wote wanamudu kuhudumia familia zao sasa, mimi nafuga kuku na nina mradi wa kupika vitafunwa ninauzia wanafunzi shuleni" Ameweka wazi Fatuma


"Kwa sasa hata kina mama wenye uwezo mdogo wa kifedha, tunajiamini na kujiona ni bora mbele ya jamii, kina mama tunajivunia kuwa na Rais mama mwenzetu, ametupa joto na ari ya kufanyakazi zaidi, kwa kujiona kila kitu kinawezekana bila kujali jinsi, kwa sasa kina mama tunapambana kutafuta riziki za familia zetu bila woga" Amesisitiza Julitha Mollel


Naye Mratibu wa TASAF halmashauri ya Arusha, Grace Makema, amesema kuwa zoezi la utoaji ruzuku kwa Kaya zilizo kwenye mpango wa Kunusu Kaya Masikini limefanyika na jumla ya kaya 11,159 kutoka vijiji 87 halmashauri ya Arusha, zimepokea fedha za ruzuku, huku jumla ya shilingi milioni 877.9 zikitolewa ikiwa ni malipo ya madirisha mawili la 13 na 14 ya mwezi Machi - Aprili na Mei - Juni 2023


ARUSHA DC NI YETU, TUSHIRIKIANE KUIJENGA



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.