• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WASHIRIKI UMITASHUMTA ARUSHA DC WATAKIWA KUJIPANGA KUKABILIANA NA MASHINDANO NGAZI YA MKOA NA TAIFA

Posted on: July 15th, 2022

Na Mwandishi wetu

Washiriki wa michezo ya UMITASHUMTA halmashauri ya Arusha, wametakiwa kuongeza juhudi katika mazoezi ili kuweza kukabiliana na mashindano ya michezo hiyo kimkoa na hata kitaifa ili kuweza kupata ushindi.

Akizungumza wakati wa kikele cha Masindano ya UMITASHUMTA, Mkuu wa Idara Elimu Msingi Halmashauri ya Arusha, Mwl. Salvatory Alute, katika kuchangua timu itakayoiwakilisha  kimkoa na hatimaye Taifa, michezo iliyofanyika katika viwanja vya shule ya sekondari Ilboru.

Afisa Elimu Alute ameweka wazi kuwa wachezaji wote waliochaguliwa kuwakilisha Halmashauri ngazi ya mkoa, wanapaswa kujituma kwa viwango vya juu ili kuweza kuchaguliwa kushiriki mashindano hayo ngazi ya Taifa, kwa kuwa nafasi hiyo ni fursa ya kuibua vipaji  na hatimaye kuwasaidia wachezaji kutimiza ndoto zao.

“Inafahamika michezo ni Afya, Elimu na Ajira hivyo niwasihi kujituma kwa kadri ya uwezo wenu, ili muweze kufikia malengo ya UMITASHUMTA na hatimaye kutimiza ndoto zenu, msikubali kukata tamaa kutokana na changamoto yoyote mtakayokutana nayo, na sisi kama viongozi tutajitahidi kutatua changamoto zinazowakumba ikiwemo vifaa vya michezo ili kuwawezesha wengi wenu kutimiza ndoto zenu”. Amesisitiza Mwl. Alute.

Hata hivyo, kaimu Afisa michezo halmashauri ya Arusha, Priscus Silayo, amesema kuwa lengo la kuandaa mashindano hayo ni kupata wanafunzi  watakaoshiriki mashindano katika ngazi ya mkoai lakini pia kutwaa ubingwa wa michezo ya UMITASHUMTA kitaifa, licha ya kuwepo kwa changamoto mbalimbali zinazowakumba kama vile viwanja pamoja na vifaa vingine vya michezo.

Nao washiriki wa michezo hiyo wameeleza shauku yao katika mashindano hayo ni ushindi licha ya kuwa eanategemea michezo kuwa ajira hapo baadaye inayoweza kubalisha maisha yao, familia zao na Taifa kwa ujumla.

Jesca Lenard, Mwanafunzi wa shule ya msingi Trust Saint Patrick Schools, na mshindi wa mbio za mita 100 na mita 200 ngazi ya kitaifa msimu uliopita ameeleza matamanio yake na faida anayoipata katika michezo hiyo.

“Natamani kuwa mshindi mashindano ya riadha Taifa, ili niweze kufanikiwa katika maisha yangu na kuisaidia familia yangu kupitia kipaji changu, ninajifunza kuwa mvumilivu na kujituma zaidi kwasababu" Amesema Jesca

Awali, mashindano hayo ambayo yalianzia ngazi ya shule, kata, vitalu na wilaya,yakiambatana na kaulimbiu isemayo “Takwimu sahihi ni msingi wa mipango bora ya Taifa, shiriki sensa ya watu na makazi kwa maendeleo yetu”, yanajumuisha michezo ya mpira wa miguu, mpira wa wavu, mpira wa kikapu, fani za ndani na ngoma pamoja na riadha, huku wanafunzi 250 wakishiriki pamoja na walimu 30 kutoka katika vitalu vitano, ambapo washiriki 120 wamechaguliwa kuiwakilisha Halmashauri ya Arusha katika ngazi ya Mkoa na hatimaye kitaifa. 


ARUSHA DC

KaziInaendelea✍✍

JIANDAE KUHESABIWA


PICHA ZA MATUKIO












Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.