• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATALAMU WATAKIWA KUSIMAMIA MIRADI YA BOOST KWA KUZINGATIA KANUNI NA TARATIBU: WAZIRI OR-TAMISEMI

Posted on: December 13th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe.Angellah Kairuki amewataka wataalamu kusimamia utekelezaji wa miradi ya  kuboresha na kuimarisha elimu ya Awali na Msingi (BOOST) kwa kufuata Miongozo, Sheria na Kanuni na taratibu zilizoainishwa.

Mhe. Waziri, ametoa wito huo wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo watalamu wa fani mtambuka kutoka ngazi ya Halmshauri na mikoa ya kanda ya Kaskazini, mafunzo yaliyofanyika kwenye shule ya Sekondari Ilboru wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha.

Mhe. Kairuki amewataka watalamu kutumia  ujuzi na maarifa watakayoyapata kupitia mafunzi hayo  kwenda kusimamia utekelezaji wa mradi wa BOOST katika maeneo yao ili kufikia malengo ya serikali ya mpango wa shule salama, zitakazomuwezsha mwanafunzi kuwa mahizi bila vikwazo.

"Kila halmashauri hakikisheni mnaelewa na kufuata afua zote za utekelezaji wa mradi kwa kuzingatia kanuni na taratibu, utunzaji wa nyaraka na uandaaji wa taarifa za mradi, tukamilishe miradi bila kuwa na hoja za ukaguzi" Amesisitiza Mhe. Waziri.

Aidha Waziri Kairuki, amebainisha lengo la  serikali kupitia mradi wa BOOST ni kuwa na mpango salama wa shule, wenye mazingira rafiki yenye kupunguza vikwazo vya upatikanaji wa elimu kwa watoto pamoja  na kuwajengea wanafunzi umahiri katika nyanja mbalimbali.

Hata hivyo Mhe. Waziri amewaonya wasimamizi wa utekelezaji wa mradi wa BOOST kuwa makini kwa kuepuka udanganyifu na ubadhilifu wa fedha hizo na kuweka wazi kuwa hatua kali zitachukuliwa dhidi ya watakaokwenda kinyume na taratibu zilizoelekezwa na serikali.

Naye Naibu Katibu Mkuu OR -  TAMISEMI,  Ramadhani Kairima amesema kwa kanda ya Kaskazini jumla ya wanafunzi wakufunzi 274 watajengewa uwezo wa mradi huo kutoka mikoa ya Arusha, Manyara na Singida na kusisitiza kuwa utekelezaji wa miradi ya BOOST kuwa agenda ya kudumu katika vikao vya kisheria vya halmashauri zote.

Aidha ameeleza lengo la mafunzo hayo ni kuzijengea uwezo timu za utekelezaji wa mradi wa BOOST ili kuwa na uelewa wa pamoja, na kuwawezesha kufahamu vema mradi wa BOOST, malengo ya mradi, hatua za utekelezaji na namna bora ya utekelezaji unaozingatia kanuni, aheria na taraibu kwa kuzingatia matokeo chanya yanayotarajiwa na serikalia.

Mradi BOOST umezinduliwa rasmi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini na unategemea kutekelezwa ka kipindi cha miaka mitano kuanzi mwaka wa fedha 2022/2023  - 2025/2026, unaotegemea kujenga jumla ya madarasa 12,000 kwa gharama ya shilingi trilioni 1.15 sambamba na kuimarisha matumizi ya TEHAMA shuleni,  lengo kuu likiwa ni kuboresha elimu ya awali na msingi.


ARUSHA DC

KaziInaendelea✍

PICHA ZA MATUKIO WAKATI WA UFUNZGUZI WA MAFUNZO

Waziri wa Nchi OR -  TAMISEMI, Mhe. Angela Kairuki akifungua mafunzo ya wajumbe wa timu ya utekelezaji wa Mradi wa BOOST ngazi ya halmashauri na Mkoa, yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano shule ya sekondari Ilboru wilaya ya Aruemru mkoani Arusha.

Naibu Katibu Mkuu OR -  TAMISEMI,  Ramadhani Kairima, akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wajumbe wa timu ya utekelezaji wa Mradi wa BOOST ngazi ya halmashauri na Mkoa, yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano shule ya sekondari Ilboru wilaya ya Aruemru mkoani Arusha.

Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhandisi Richard Ruyango,  akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya wajumbe wa timu ya utekelezaji wa Mradi wa BOOST ngazi ya halmashauri na Mkoa, yaliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano shule ya sekondari Ilboru wilaya ya Aruemru mkoani Arusha.



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.