• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZAZI HAKIKISHENI WATOTO WANAPATA CHAKULA CHA MCHANA WAWAPO SHULENI

Posted on: July 26th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Wazazi wametakiwa kuhakikisha wanawahudumia watoto wao wa shule za kutwa kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa wa kuwapa chakula cha mchana watoto wao wawapo shuleni.


Rai hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, wakati akizundua jengo la maabara za masomo ya Sayansi Fizikia na Kemia shule ya sekondari Oldonyowas na kutembelea bwalo la chakula shuleni hapo.



Mhe. Emmanuela amesema kuwa Serikali imeshatekleza jukumu lake la kuwekeza kwenye miundo mbinu ya shule hivyo ni jukumu wanafunzi kusoma kwa bidii, huku akiwataka wazazi kuwawezesha watoto hao kusoma vizuri kwa kuwapa chakula cha mchana.


"Sera ya Elimu bila malipo imeweka wazi majukumu ya mzazi kumhudumia mtoto wake kwa kumpatia mahitaji yake muhimu ikiwemo vifaa vya shule,madaftari, nguo za shule, usafiri pamoja na chakula cha kwa shule zisizo za bweni, chakula cha mchana kwa wanafunzi wa shule za kutwa, hivyo wazazi msikwepe jukumu hilo ni lenu"Amesisitiza Mkuu huyo wa wilaya.


Aidha amefafanua kuwa ni jukumu la mzazi kumpa mtoto chakula, zaidi  chakula ni haki ya msingi ya mtoto na ni muhimu kwa afya yake pia, na kuongeza kuwa ili mtoto aweze kusoma na kufaulu  vizuri  lazima awe na afya njema inayotokana na lishe bora, lazima awe ameshiba ili aweze kufaulu vizuri.


Hata hivyo mwanafunzi wa kidato cha III,  Godfrey Mbise amewataka wazazi kuona umuhimu wa kuwachangia chakula watoto wao, kwa kuwa wapo watoto ambao hawali shuleni jambo ambalo linawatia unyonge na kushindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao.


"Serikali imefanya vizuri kutuwekea mazingira bora ya kusomea, changamoto kubwa ni bado kuna baadhi ya wazazi wanashindwa kuwalipia watoto wao chakula, jambo ambalo linawafanya kushinda njaa, niwaombe wazazi kuwahurumia watoto wao, ili mwanafunzi aweze kuconcentrate kwenye masomo lazima awe ameshiba" Amesisitiza Godfrey


ARUSHA DC NI YETU, TUSHIRIKIANE KUIJENGA





Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.