• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZAZI NA WALEZI WATAKIWA KUWAANDIKISHA WATOTO WALIOFIKISHA UMRI WA DARASA LA AWALI NA DARASA LA KWANZA 2025

Posted on: January 4th, 2025

WAZAZI NA WALEZI WATAKIWA KUWAANDIKISHA WATOTO WALIOFIKISHA UMRI WA DARASA LA AWALI NA DARASA LA KWANZA 2025.


Kaimu Afisa Elimu Msingi Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Bi. Scholastica Bura, amewataka Wazazi na Walezi kuhakikisha wanawaandikisha watoto wao waliofikia umri wa kuanza Darasa la awali na Darasa la kwanza Kwa mwaka wa masomo 2025.


Amesema kuwa Idara ya Elimu Msingi imejipanga vyema kuhakikisha malengo ya kufikisha asilimia 100 ya uandikishaji yanafikiwa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa elimu.


Aidha, Bi. Scholastica amesisitiza kuwa dhamira ya Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha kila mtoto anapata elimu bora.


Amebainisha kuwa Maandalizi ya ufunguzi wa shule yanaanza kwa kufanya vikao na Makundi muhimu, yakiwemo Waalimu wakuu na waratibu Elimu kata, ili kuweka Mikakati Madhubuti ya kusimamia Maendeleo ya elimu.


Kuhusu suala la chakula shuleni, Bi. Scholastica amesema kuwa ufaulu wa wanafunzi unahusiana moja kwa moja na upatikanaji wa chakula mashuleni.


Ameeleza kuwa mwaka 2024, asilimia 71 ya wanafunzi walipata chakula shuleni, lakini lengo la Halmashauri Kwa mwaka 2025 ni kuhakikisha asilimia 100 ya wanafunzi wote wanapata chakula ili kuimarisha afya na utulivu darasani.


Bi. Scholastica pia amewataka Maafisa Elimu Kata kusimamia shule zao kwa karibu, kwa kushirikiana na watendaji wa kata na Wenyeviti wa vijiji, ili kuhakikisha wazazi wanatambua umuhimu wa kuwaandikisha watoto wao shuleni na kuwahamasisha kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya elimu. @arusha_district_council @rc_mkoa_arusha

https://www.instagram.com/p/DEXJakbo9Kj/?igsh=aWl4cG8wYjF1MG05

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.