• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZIRI GWAJIMA AKUTANA NA RC MAKONDA, APONGEZA MAANDALIZI YA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025

Posted on: February 24th, 2025

WAZIRI GWAJIMA AKUTANA NA RC MAKONDA, APONGEZA MAANDALIZI YA KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI 2025


Na. WMJJWM -Arusha


Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amepongeza kamati za maandalizi kwa kazi nzuri wanayoendelea kuifanya kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani tarehe 8 Machi 2025 huku Arusha ikiwa mwenyeji wa kilele hiki kitaifa.


Dkt. Gwajima ameeleza hayo alipokutana na kamati za maandalizi ya kilele hicho Februari 25, 2025 Jijini Arusha yakayofanyika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, yakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


“Ninapongeza Kamati ya Maandalizi kitaifa chini ya Uongozi wa Bi. Sarah Masasi pamoja na Kamati zote katika ngazi ya Mkoa kwa kazi kubwa na nzuri inayofanyika kuhakikisha maadhimisho haya yanakuwa ya mafanikio. Hii ni siku muhimu kwa wanawake wa Tanzania na tunapaswa kuhakikisha inadhimishwa kwa heshima, hamasa na mafanikio makubwa. amesema Waziri Dkt. Gwajima


Dkt. Gwajima amesema, maandalizi hayo yanajumuisha matukio muhimu kama uzinduzi wa maadhimisho tarehe 1 Machi 2025, Makongamano saba ya Kikanda yenye ajenda mbalimbali za Wanawake na Maendeleo.


Pamoja na pongezi kwa kamati za maandalizi, Waziri Gwajima amempongeza na kutoa shukrani kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Makonda kwa usimamizi mzuri wa maandalizi, akisema juhudi zake zimewezesha maandalizi kufanyika kwa ufanisi mkubwa huku akiwahimiza Wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki katika sherehe hizi muhimu kwa maendeleo ya wanawake nchini.


Naye Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Makonda amesema maandalizi yataendelea kwa nguvu mpya ili kuongeza hamasa na kuhakikisha siku hiyo inakuwa ya kipekee kwa wanawake na wananchi wote watakaoshiriki.


Aidha baadhi ya wakuu wa kamati za maandalizi ya siku hiyo wamesema kuwa, juhudi zinaendelea vizuri kuhakikisha maadhimisho hayo yanafanyika vizuri na kuhakikisha kila mmoja anajivunia kushiriki.


MWISHO.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.