• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

YALIYOJILI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ARUSHA DC

Posted on: January 29th, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Halmashauri kuanzisha mchakato wa kuipandisha hadhi halmashauri ya Arusha, kuwa halmashauri ya Mji na baadaye kuwa Manispaa, kwa kuwa tayari halmashauri hiyo ina sifa na  vigezo stahiki. Hii ni kutoka na ukubwa wa eneo la halmashauri unaokwenda sambamab na  ongezeko kubwa la idadi ya watu, wanahitaji kupata nyingi karibu na maeneo yao tofauti na ilivyo sasa. 

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango, ifanye ziara ya kutembelea nyumba iliyoko eneo la Engira Road,  inayomilikiwa na halmashauri mbili za Meru na Arusha, ili kuishauri Baraza alMadiwani namna bora ya matumizi ya mradi huo, ambao ni chanzo cha mapato na kinashindwa kufanya vizuri kutokana na umiliki wa pande mbili.

Mamlaka za serikali, zinazotoa huduma ndani ya halmashauri ya Arusha, ikiwemo Mamlaka ya Maji Mijini na Vijijini - RUWASA, Mamlaka ya Barabara Mijini na Vijijini - TARURA na Mamlaka ya Maji safi na usafi wa Mazingira Arusha - AUWSA, zimetakiwa kupanga mtalamu atakayewajibika  moja kwa moja kutekeleza majukumu ya huduma wanazotoa kwa  kushirikaiana na Watalamu wa  halmashauri, ili kuwa na malengo ya pamoja katika kutatua changamoto ya utekelezaji wa miradi ya  maji na barabara, lengo likiwa ni kuwaondolea kero zinazotokana na kusuasua kwa huduma hizo kwa wananchi.

Halmashauri kuimarisha Kamati ya usimamizi wa uendeshaji Mitambo ya halmashauri kwa kuhakikisha mitambo hiyo inafanya kazi ya kukarabati miundombinu ya barabara katika maeneo ya halmashauri hiyo, kutokana na uharibifu mkubwa wa barabara uliotokana na mvua zilizonyesha mwaka uliopita,  pamoja na kukodisha mitambo hiyo ili kupata fedha kwa ajili ya matengenezo ya mitambo hiyo.

Wajumbe wa Baraza la Madiwani wameupongeza uamuzi wa watalamu wa halamshauri ya Arusha, kwa  kuanzisha shule mpya ya mchepuo wa kiingereza Enaboishu Academy, kama chanzo endelevu cha mapato, na kuwataka watalamu kuendelea kubuni vyanzo vingine vipya, huku wakiendelea kuimarisha ukusanyaji wa mapato katika vyanzo vilivyopo na kuthibiti mianya ya  upotevu wa mapato, unaosababbishwa na baadhi ya watu wasio waaminifu.

Wheshimiwa Madiwani wamehimizwa kushirikiana na watalamu katika kusimamia vyanzo vya mapato vilivyopo katika maeneo yao, na kutambua kuwa wana jukumu la kuvisimami kwa kushirikiana na watalamu,  kwa kuwa Mapato ya halmashauri ndio nguzo ya kuendesha halmashauri, na ndio injini ya kuboresha upatikanaji wa huduma bora  kwa wananchi.

Wananchi wametakiwa kuona umuhimu wa kurasimisha maeneo wanayomiliki na kutoa ushirikiano kwa watalamu wanahusika na zoezi hilo katika maeneo yao, hii ni kufuatia zoezi la urasimishaji ardhi na makazi linaloendelea katika maeneo mengi  Halmashauri ya Arusha.  

Aidha, Wajumbe wa Baraza la Madiwani wamewapongeza watalamu wa halamshauri ga Arusha kwa kujitoa kufanyakazi kwa bidii na kuifanya halamshauri  hiyo, kung'ara kwa kufanya vizuri katika tathmini za halamshauri za mkoa wa Arusha na Tanzania kwa ujumla.


MATUKIO KATIKA  PICHA

Mwenyekitinwa halmashauri ya Arusha, mheshimiwa Ojung'u Salekwa, akihutubia wajumbe wa Baraza la Madiwani, wakati wa kuhitimisha mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli maendeleo kwa kipindi cha robo ya pili mwaka wa fedh 2020/2021, mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.


Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule akifafanua jambo, wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli maendeleo kwa kipindi cha robo ya pili mwaka wa fedh 2020/2021, mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.


Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Madiwani wakifuatilia mijadala mbalimbali iliyoendelea, wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli maendeleo kwa kipindi cha robo ya pili mwaka wa fedh 2020/2021, mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.

Afisa Mipango halmashauri ya Arusha, Anna Urio akiwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli maendeleo kwa kipindi cha robo ya pili mwaka wa fedh 2020/2021, mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.

Diwani wa Kata ya Oloirieni, Mhe. Erick Semboja, akichangia hoja, wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani wa kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli maendeleo kwa kipindi cha robo ya pili mwaka wa fedh 2020/2021, mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa halmashauri hiyo.






Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.