• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Yaliyojiri kwenye Baraza la Madiwani la kuwasilisha taarifa za kata za robo ya tatu 2017/18

Posted on: May 11th, 2018

#Kuendelea kusimamia vizuri miradi yote ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya halmashauri licha ya asilimia kubwa ya miradi kuendelea vizuri .

#Wananchi wametakiwa kutoa ushirikiano kwa Wakala wanaokusanya taka licha ya changamoto kubwa ya ukusanyaji taka inayotokana na uharibifu wa miundombinu ya barabara unaosababisha kuharibu hata magari ya kubebea taka hizo.

 #Kata ya Moivo wametakiwa kuanza mchakato wa kuomba kupata eneo kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari,kutokana na kata hiyo kutokuwa na shule ya sekondari huku watoto wa eneo hilo wakisoma kwenye shule ya sekondari Olturoto shule ambayo inachukua wanafunzi wa kata tatu na kusababisha msongamano wa wanafunzi kwenye shule hiyo.

#Viongozi wa kata na vijiji , wametakiwa kuendelea kuwahamasisha wananchi kuendelea kuchangia miradi ya maendeleo katika maeneo yao huku viongozi hao wakitakiwa kusimamia vema fedha zilizochangwa na wananchi.

#Maafisa watendaji wa Kata wametakiwa kuwasimamia Watendaji wa vijiji, kuhakikisha Mikutano Mikuu ya vijiji inafanyika na wananchi wanasomewa taarifa za mapato na matumizi.

#Wakala wa Barabara mijini na vijiji 'TARURA' wanapita kwenye kata na kubainisha hali halisi ya miundombinu ya barabara zote kwa lengo la kuweka mkakati wa  kuzitengeneza.    

#Maafisa watendaji wa kata, kuacha kujishirikisha kwenye masuala ya siasa ambazo kimsingi zinaleta changamoto katika utekelezaji wa shughuli za maendeleo ya wananchi katika maeneo yao.

Katika mkutano huo Madiwa wa kata waliwasilisha taarifa za utekelezaji ya shughuli za maendeleo kwa kipindi cha robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2017/18, huku kata nyingi zikikabiliwa na changamoto ya uharibifu wa miundombinu ya barabara unaotokana na mvua zinazoendelea kunyesha sambamba  na wadudu waharibifu wa nashambuli mimea ya mazao ya chakula shambani. 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.