• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

YALIYOJIRI KWENYE HAFLA YA UTIAJI SAINI WA UUNDWAJI WA MELI MPYA NA UJENZI WA CHELEZO, MWANZA

Posted on: September 3rd, 2018

******RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI*

#Nimefurahishwa sana na hatua hii ya utiaji saini wa ujenzi wa meli mpya na ukarabati wa meli zilizokuwepo, dhumuni ni kuboresha huduma ya usafiri katika Ziwa Victoria.

#Ukarabati wa meli 2 za Mv Butiama na Mv Victoria utagharimu Shilingi Bilioni 27.61, tumeamua kufanya ukarabati mkubwa.

#Meli ya Mv Liemba iliyopo mkoani Kigoma nayo tumepanga kuikarabati.

#Tunatekeleza miradi hii yote kwa manufaa ya watanzania wote, tumeamua na hatutarudi nyuma, watanzania tunaweza.

#Tusikwepe kodi ndugu zangu watanzania, kodi ni msingi wa maendeleo ya Tanzania.

**** MHANDISI ISACK KAMWELWE-WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO*

#Utekelezaji wa miradi hii ni juhudi zako Mhe. Rais Magufuli, za kuhakikisha unasimamia vyema makusanyo ya fedha za watanzania.

#Tunakushukuru Mhe. Rais Magufuli kwa kutoa fedha ambapo mpaka sasa tumeshakarabati meli tano.

#Maziwa tunayo tunapaswa kuyatumia kuhakikisha tunafikia uchumi wa kati.

*****SONG GEUM YONG- BALOZI WA KOREA KUSINI NCHINI*

#Nawapongeza wahusika wote kwa kusaini mkataba wa utekelezaji wa ujenzi wa meli mpya na chelezo.

#Maendeleo haya yote yanatokana na juhudi kubwa zinazofanywa na watanzania wakiongozwa na Rais Dkt. John Magufuli

#Tanzania na Korea Kusini ni wabia wazuri sana katika masuala ya maendeleo hasa baada ya Tanzania kufungua ubalozi nchini Korea.

****ERICK HAMISI- KAIMU MENEJA MKUU- KAMPUNI YA HUDUMA ZA MELI*

#Ujenzi wa meli hii ya kisasa katika Ziwa Victoria utagharimu shilingi bilioni 88.76 na itakuwa na uwezo wa kubeba tani 400 za mizigo, abiria 1200 na magari madogo 20.

#Meli hii itakuwa kubwa kuliko zote za Ukanda wa Maziwa Makuu, itakuwa na urefu wa mita 90 na kimo cha mita 10.9 sawa na ghorofa 3 kwenda juu.

#Ujenzi wa meli hii utakamilika katika kipindi cha miezi 24.

#Ujenzi wa meli hii mpya utaajiri watanzania si chini ya 250.

#Pia tutasaini mkataba wa ujenzi wa chelezo (slipway) itakayotumika kujenga meli mpya katika Ziwa Victoria, chelezo hii ikikamilika itakuwa na uwezo wa kubeba meli yenye uzito wa tani 4000.

#Chelezo hii itakuwa na urefu wa mita 100, ujenzi wake utagharimu shilingi bilioni 35.99 na unatarajiwa kukamilika ndani ya miezi 12.

****MHE. SELEMANI KAKOSO(Mb)-MWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE MIUNDOMBINU*

#Tunaahidi kamati itakuwa pamoja nawe katika jitihada hizi za utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo.

*Imeandaliwa na Idara ya Habari-MAELEZO*

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.