• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Yaliyojiri kwenye mkutano wa Baraza la Madiwani la kuwasilisha taarifa za Kata

Posted on: November 10th, 2018

# Kujipanga vema kuendelea kushughulikia changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa halmashauri ya Arusha kisekta.

# Wameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi ya emaendeleo inakwenda vizuri katika kata zote 27 ikiwemo miradi ya Elimu kata za Oldonyowas, Mlangarini, Bangata, Miradi ya Maji Bwawani, Lovilukuny, Likamba na mradi wa maji wa Vijiji vitano,Miradi ya Afya Mbuyuni na Manyire pamoja na miradi ya TASAF.

# Wamewapongeza wataalamu kwa kuwezesha ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba kwa kushika nafasi ya 21 kitaifa na nafasi ya 2 kimkoa.

# Wamewaomba wadau kujitokeza kuchangia ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya wanafunzi wanaotarajiwa kuchaguliwa kujiunga na kadato cha kwanza, mapema mwezi Januari 2019, kutokana ongezeko la ufaulu wa wanafunzi wa darasa la saba imesababisha uhitaji wa vyumba vya madarasa 109.

# Kwenye kata na vijiji ambavyo havina Maafisa Watendaji kutokana na sababu mbalimbalo, wameomba kuwatumia wataalamu wa fani nyingine kwenye maeneo husika na kukaimishwa nafasi hizo ili kuepuka kazi za maeneo hayo kutokusimama.

# Maeneo yenye migogoro ya mipaka yatafutiwe ufumbuzi kwa haraka kuepuka migogoro hiyo kuwa mikubwa.

# Wataalamu kuwaelimisha wananchi wanaofanya biashara ya mboga mboga na matunda karibu na mto katika soko la Ngaramtoni, kuchukua tahadhari kutokana na kufanya biadhara katika eneo hatarishi na kutambua madhara yanayoweza kuwapata endapo patatokea ajali ya gari katika eneo hilo na kuwataka wananchi hao kuhama katika eneo hilo na kuhamia eneo la soko halali.

Mkurugenzi Mtendaji Dkt. Wilson Mahera, akizungumza na wajumbe wa mkutano wa Baraza la Madiwani juu ya utekelezaji wa shughuli za maendeleo ndani ya halmashauri hiyo.

Wajumbe wa Baraza la Madiwani wakifuatilia mijadala inayoendelea wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani la kuwasilisha taarifa za kata, kwa kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2018/19


Wajumbe wa Baraza la Madiwani wakifuatilia mijadala inayoendelea wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani la kuwasilisha taarifa za kata, kwa kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2018/19


Wajumbe wa Baraza la Madiwani wakifuatilia mijadala inayoendelea wakati wa Mkutano wa Baraza la Madiwani la kuwasilisha taarifa za kata, kwa kipindi cha robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2018/19


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.