• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Yaliyojiri Mkutano wa Baraza la Madiwani (Full Council) wa robo ya tatu 2017/18.

Posted on: May 11th, 2018

# Halmashauri yatakiwa kuweka alama za vibao kwenye maeneo yote mipaka  ya halmashauri ikionesha kuingia na kutoka katika halmashauri hiyo.

# Kuweka mikakati thabiti ya kujenga mabweni ya wanafunzi kwenye shule za sekondari zote huku kipaumbele kikiwa kwaenye shule zilizo maeneneo ya pembezoni na kumalizia majengo ambayo tayari yameanza.

# Halmashauri  kuandaa maandiko ya miradi ya kimkakati kwa ajili ya kuwekeza kwenye eneo la Burka, ikiwa ni miradi ambayo serikali ya awamu ya tano inaipa kipaumbele ili kuzijengea uweo halmashauri kujipatia mapato.

# Watalamu wametakiwa kuendelea kutoa huduma kwa wananchi bila kujali tofauti za kisiasa, kidini, kwa kusimamia maono ya halmashauri hiyo ya kutoa huduma bora kwa wananchi kwa kutumia rasilimali zilizopo.

# Licha ya Halmashauri kufanikiwa kutekeleza miradi mingi ya Maendeleo, kwa robo ya tatu, lakini pia watalamu wametakiwa kuhakikisha kipindi cha robo ijayo ya mwisho, halmashauri inafikia malengo yaliyopangwa kwenye bajeti.

# Aidha kuongeza bidii ya ukusanyaji mapato kufikia asilimia 37% zilizosalia kukamilisha mpango wa bajeti ya mwaka wa fedha 2017/18 na kuweza kufikia malengo.

# Halmashauri imefanya vizuri katika utoaji wa mikopo ya wanawake na vijana kwa kutumia asilimia 10%ya mapato ya ndani, licha ya changamoto ya baadhi ya wananchi kulalamikia kutokupata mikopo hiyo na kuitaka Idara ya Maendeleo ya Jamii kuendelea kuelimisha jamii juu ya uundaji wa vikundi na utoaji wa mikopo.

# Miradi miwili ya maji ya  Ngaramtoni na Loovilikuny, moja ya miradi ya vijiji kumi, imeshakamika kwa asilimia zaidi ya 98%  Halmasmashauri ifanye juhudi za kuhakikisha inakabidhiwa ili wananchi waweze kupata huduma ya hiyo ya maji ambayo ambayo waimeisubiri kwa muda mrefu sasa ili kuwaondolea kero kwa wananchi wa maeneo hayo.

# Wakala la Barabara mijini na vijijini (TARURA),  kuendelea kubainu uharibifu wa miundombinu ya barabara zote za halmashauri zilizoharibiwa kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha ili kuweka mikakati ya ukarabati wa barabara hizo mara baada ya kumalizika kwa msimu wa mvua.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.