Friday 26th, April 2024
@ORALNDO GARDEN
TANGAZOOO TANGAZOOO TANGAZOOOO
Halmashauri ya Arusha kwa kushirikiana na shirika la LUMINARY INC wanatarajia kufanya Maadhimisho ya Wiki ya SARATANI YA MATITI Duniani 2022.
Maadhimisho hayo yatafanyika kuanzia tarehe 27 - 29 Oktoba 2022 kwenye Hotel ya ORLANDO GARDEN -SAKINA.
Lengo la Maadhimisho hayo ni KUONGEZA UFAHAMU JUU YA SARATANI YA MATITI kwa Jamii.
Maadhimisho hayo yataambana na upimaji wa magonjwa bure na utoaji wa elimu, ushauri na ushuri nasaha kwa wananchi wote.
Aidha huduma za afya zifuatazo zitatolewa bila malipo :-
1. UCHUNGUZI WA SARATANI YA MATITI
2. UCHUNGUZI WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
3. UPIMAJI WA HOMA YA INI
4. UPIMAJI WA VIRUSI VYA UKIMWI
5.UPIMAJI WA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA
6. ELIMU YA LISHE BORA NA MLO KAMILI
7. UCHANGIAJI WA DAMU SALAMA
8. CHANJO YA UVIKO 19
9. FASIHI NA NYENZO ZA ELIMU
Aidha Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha Seleman Msumi anawakaribisha wananchi wote kutumia fusa hiyo kupata huduma hizo bure.
Kauli mbiu: "UTAMBUZI WA MAPEMA HUOKOA MAISHA"
Ukisikia Tangazo hili mjulishe na mwingine✍✍
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.