Friday 9th, May 2025
@VITUO VYA KUJIANDIKISHIA WAPIGA KURA
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Arumeru Magharibi, anawatangazia wananchi wote kuwa,Tume ya Taifa ya Uchaguzi itaweka Wazi Daftri la Awali la Wapiga Kura kwa siku NNE kuanzia Tarehe 17-20/06/2020 kwenye vituo vyote vilivyotumika Wakati wa Uboreshaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Uwekaji wazi huu utafanyika kwa kuzingatia tahadhari zote za afya kuhusu kuzuia maambukizi ya ugonjwawa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona.
***ZOEZI HILI LITAHUSU:-
***UTARATIBU WA UHAKIKI***
Mpiga kura anaweza kuhakiki taarifa zake kwa njia zifuatazo:-
**MAMBO YA KUZINGATIA:-
*****Katika zoezi hili hakutakuwa na Uandikishaji wa Wapiga Kura Wapya. Aidha, hakutakuwa na Uboreshaji wa Taarifa za Wapiga Kura waliohama maeneo yao ya kiuchaguzi, waliopoteza kadi au kadi zao kuharibika****.
**ZOEZI HILI NI LA NNE TUU, ZINGATIA MUDA**
*KUMBUKA KUZINGATIA KANUNI ZA AFYA, KWA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA UWAPO KITUONI*
Fuata maelekezo utakayopewa kituoni ili kujiepusha na maambukizi ya virusi vya Corona.
Sekei Road
Anuani ya posta: 2330 Arusha
Simu : +255 027 2502737
Simu: 073 65000476
Barua pepe: ded@arushadc.go.tz
Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.