• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAKUU WA TAASISI ZA UMMA NA VIONGOZI MBALI MBALI WAKUTANA KATIKA MKUTANO WA NNE WA WIKI YA UFUATILIAJI, TATHMINI NA UJIFUNZAJI

Posted on: September 11th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha, Ndugu Seleman H. Msumi na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Meru Bi. Zainabu Makwinya wameungana na viongozi na wadau mbalimbali katika Mkutano wa 4 wa Wiki ya Ufuatiliaji, Tathmini na Ujifunzaji (MEL) unaofanyika katika Ukumbi wa Malaika Resort jijini Mwanza.

Mkutano huo ni jukwaa muhimu linalowawezesha wataalamu, watunga sera, watafiti na watekelezaji kubadilishana maarifa na mbinu bora za kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji na tathmini nchini.

ambapo Mkutano huo umeandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu (PMO-PPC) kwa lengo la kuimarisha umiliki wa ndani wa mifumo ya MEL na kujenga mazingira endelevu ya tathmini. Aidha, unalenga kuongeza uelewa na mshikamano katika kukuza matumizi ya ushahidi katika uundaji sera na utekelezaji wa mipango ya maendeleo.

Kwa upande wake, Ndugu Seleman H. Msumi na Mwl. Zainabu Makwinya wameshiriki kama wawakilishi wa Halmashauri zao ili kutoa mchango wa uzoefu na kuimarisha mifumo ya uwajibikaji katika ngazi za halmashauri. Ushiriki wao unatarajiwa kuchochea mbinu shirikishi na endelevu katika ufuatiliaji na tathmini ya miradi ya maendeleo ya wananchi.

Mkutano wa 4 wa Wiki ya MEL unasisitiza ajenda kuu tatu: kuimarisha mifumo ya MEL katika ngazi za kijamii, kikanda na kitaifa, kukuza matumizi ya ushahidi katika uundaji sera na utoaji huduma bora, pamoja na kuhamasisha ushirikiano katika ufadhili na maendeleo ya taasisi zinazojihusisha na MEL.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI ZA MKATABA HALMASHAURI YA WILAYA YA ARUSHA August 14, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WAKUU WA TAASISI ZA UMMA NA VIONGOZI MBALI MBALI WAKUTANA KATIKA MKUTANO WA NNE WA WIKI YA UFUATILIAJI, TATHMINI NA UJIFUNZAJI

    September 11, 2025
  • MUONEKANO WA UWANJA ARUSHA UJENZI UNAENDELEA

    September 08, 2025
  • MAHAFALI YA DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI SEKEI

    September 06, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA ARUMERU AKUTANA NA WAKUU WA TAASISI ZA UMMA KUONGEZA UFANISI WA HUDUMA KWA WANANCHI

    September 02, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.