• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ARUSHA DC YAVUKA LENGO CHANJO YA POLIO AWAMU YA TATU, WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO

Posted on: September 6th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Halmashauri ya Arusha imevuka lengo lililotarajiwa katika Kampeni ya Chanjo ya Polio awamu ya tatu, kwa kutoa chanjo ya Polio kwa  jumla ya watoto 96,296  kati ya watoto 88, 628 wa chini ya miaka mitano, sawa na asilimia 108.6.

Akizungumza Ofisini kwakwe na mwandishi habari hizi, Mganga Mkuu halmashauri ya Arusha, Dkt. Petro Mboya amethibitisha kuwa, idadi ya watoto waliopatiwa chanjo ya Polio wakati wa Kampeni ya chanjo hiyo kwa awamu ya 3, imezidi makisio na kufikia asilimia 108.6.

Daktari Mboya ametaja siri kubwa ya mafanikio ya kuvuka malengo ni kutoa elimu na hamasa kwa jamii juu ya umuhimu wa chanjo hiyo, pamoja na mikakati thabiti kwa kuwatumia wahudumu wa afya ngazi ya jamii, iliyowawezesha kutoa huduma hiyo nyumba kwa nyumba.

"Makadirio yalikuwa ni kuchanja watoto 88, 628 lakini tumefanikiwa kuchanja watoto 96, 298, ninawapongeza wazazi na walezi kwa kuhakikisha watoto wao wamepata chanjo, zaidi ninaipongeza Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Arumeru ikiongozwa na  Mhandisi Ruyango kwa ushauri na usimamizi pamoja na  timu nzima ya afya halmashauri ya Arusha". Amesisitiza Dkt. Mboya.

Ikumbukwe kiwa, wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Chanjo ya Polio awamu ya 3, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango, alisistiza kuhakikisha watoto wote wamepata chanjo ya Polio ili kudhibiti ulemavu pamoja na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Polio kwa kuwa kuna chanjo ya kutosha.

Naye mratibu wa Chanjo, halmashauri ya Arusha, Muruta Kiboko, amewasisitiza wazazi na walezi wenye watoto ambao, hawajamaliza chanjo za Polio kuendelea kuwapeleka watoto kliniki kupata chanjo hizo licha ya kuwa wamechanjwa kupitia kampeni hiyo iliyofanyika kwa siku 4.

Awali Kampeni ya Chanjo ya Polio yenye kauli mbiu ya Mpe chanjo,Okoa Maisha, imetekelezwa nchini  na Serikali kwa kushirikiana na wafadhili wa  shirika la Watoto UNICEF pamoja na shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) lengo likiwa kuwakinga maisha ya watoto.

Mpe Matone..., Okoa Maisha




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.