• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

CRDB YAAZIMISHA MIAKA 30 KWA KUGUSA MAISHA: YAKABIDHI DARAJA LA ELIMU KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI

Posted on: April 16th, 2025

CRDB YAAZIMISHA MIAKA 30 KWA KUGUSA MAISHA: YAKABIDHI DARAJA LA ELIMU KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI


Katika kuadhimisha miaka 30 ya huduma na mchango wa maendeleo kwa jamii, Benki ya CRDB imekabidhi darasa, madawati, magodoro, na televisheni kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi Emaoi, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Arusha.

Msaada huu umetolewa kwa niaba ya Benki na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, Prof. Faustine Bee, na kukabidhiwa rasmi kwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mohammed Mkalipa, kama ishara ya ushirikiano wa karibu kati ya Benki ya CRDB na Jamii katika kuendeleza sekta ya elimu nchini.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Prof. Bee alieleza kuwa Benki ya CRDB hutenga asilimia moja ya faida kabla ya kodi kila mwaka kupitia Sera yake ya Uwekezaji kwa Jamii, ili kusaidia sekta za elimu, afya, na mazingira.

Prof.Bee aliongeza kwa kusema kuwa CRDB kupitia kampeni zake kama vile Keti Jifunze na Pendezesha Tanzania, Benki hiyo imekuwa mshirika thabiti wa Jamii kupitia Serikali katika kuhakikisha watoto wa Kitanzania wanapata mazingira bora ya kusima na kujifunzia.


Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mhe. Amir Mkalipa aliipongeza Benki ya CRDB kwa mchango mkubwa wanautoa katika Jamii, akitolea mfano wa ujenzi wa darasa pamoja na utoaji wa vifaa kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum na kusema kuwa hatua hiyo ni ya muhimu katika kuinua elimu kwa watoto wenye mahitaji maalum.


" kwa kweli Msaada huo ni sehemu ya shughuli za kijamii zinazotekelezwa kuelekea Mkutano wa 30 wa Wanahisa wa Benki ya CRDB, unaotarajiwa kufanyika jijini Arusha kuanzia tarehe 16,Mei,2025 na kufunguliwa na Makamu wa Rais Dkt.Philip Isdor Mpango,,hivyo sisi kama Serikali tunaishukuru Benki ya CRDB kwa mchango wake kwa Jamii".Alisema Mkalipa.

Benki ya CRDB inaamini kuwa msaada huu kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum utawapa fursa ya elimu bora na maisha yenye mafanikio. Katika kuadhimisha miaka 30 ya huduma, Benki imeahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu na Serikali na wadau mbalimbali ili kuleta maendeleo ya kweli na yenye kuwagusa wananchi moja kwa moja.


#CRDBBank

#Miaka30yaKuletaMabadiliko

#UlipoTupo

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.