• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC ARUMERU:

Posted on: July 25th, 2023

Na Elinipa Lupembe


Watanzania wilayani Arumeru, wamekumbushwa kuhakikisha kwa nguvu zote wanailinda, wanaitunza na kuipambania amani ya nchi hii kwa kuwa ni tunu iliyoachwa na mashujaa wazalendo wa taifa.


Rai hiyo imetolewa na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Mtatigikolo Kaganda, wakati wa maadhimisho ya siku ya Mashujaa kiwilaya, yaliyofanyika eneo la USA River huku akiwasisitiza wanaarumeru kulinda amani ambayo ndio tunu ya Taifa, tunu ambayo ni urithi ulioachwa na vizazi vilivyotangulia.


Mkuu huyo wa wilaya ameweka wazi kuwa katika kumbukumbu ya siku muhimu ya Mashuja ni jukumu la kila mmoja kufahamu kuwa amani, upendo na utulivu unaotawala nchini, ni urithi  uliochwa na mashujaa waliojitoa kizalendo kulipigania Taifa hili huku wengine wakipoteza maisha yao wakati wakiilinda na kuipigania amani ya nchi yao.


"Tunapofanya kumbukumbu ya siku hii muhimu, tuwaenzi Mashujaa wetu kwa kulinda tunu ya amani ya nchi yetu, wapo waliopoteza maisha kwa ajili ya Taifa hili, amani hii tuithamini na kuilinda kwa nguvu zote kama yai ili lisivunjike, tudumishe amani, upendo na mshikamano wa nchi yetu bila kujali tofauti za itikadi zetu" Amesisitiza Mkuu huyo wa wilaya.


Aidha amewataka watanzania kila mmoja kwa nafasi yake, kuendelea kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kwa bidii ili kusukuma gurudumu la maendeleo la nchi na kuongeza kuwa kasi ya amendeleo ya serikali ya awamu ya sita, iwape ari ya kufanyakazi kwa bidii.


Amewawasistiza vijana ambao ndio nguzo ya maendeleo ya Taifa, kuwa wazalendo wa nchi yao kwa kujikita kwenye shughuli za uzalishaji mali zaidi kwa kuwa wao ndio nguvu kazi ya Taifa na kuwapuuza watu wanaowapotosha na kuwashawishi kujiingiza kwenye vitendo vibaya ambavyo ni kinyume na maadili yanayokinzana na mila na desturi za jamii zetu.


Hata hivyo wananchi wa wilaya ya Arumeru, waliojitokeza kwenye maadhimisho ya siku hiyo muhimu ya Mashujaa, wameipongeza serikali ya awamu ya sita, chini ya mama Samia Suluhu Hassan kwa kasi ya maendeleo katika sekta zote, kasi ambayo inawafanya wananchi kuendelea kuwa na amani na utulivu huku kila mmoja akijikita kwenye utekelezaji wa shughuli za maendeleo.


Mzee Emmanuel Kaaya amebainisha kuwa, kasi ya maendeleo inayofanywa na mama Samia, inawafanya  watanzania kujikita kwenye shughuli za uzalishaji mali zaidi jambo ambalo linaendelea kudumisha amani na mshikamano wa Taifa.


"Serikali ya awamu ya sita imefanya mapinduzi makubwa ya kimaendeleo, kwenye elimu, afya, maji na hata miundombinu ya barabara, wananchi tunapata huduma nyingi za kijamii kirahisi na zinaoatikana maeneo jirani sasa, jambo hili linatupa amani, upendo na utulivu wa kuendelea kulijenga Taifa letu" Amesema Anna Sinai mkazi wa Usa River.


Awali mkuu wa wilaya ya Arumeru amewaongoza wakazi wa wilaya hiyo kuadhimisha siku ya Mashujaa kwa kupanda mito kwenye mto Ndurumanga, pamoja na kufanya usafi wa mazingira kwenye eneo la Leganga  na kituoc ha Afya cha Usa River.


ARUSHA DC NI YETU, TUSHIRIKIANE KUIJENGA 



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.