• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC ARUMERU ATAKA USAFI ENDELEVU

Posted on: May 25th, 2024

MHE. KAGANDA AMEONGOZA ZOEZI LA USAFI NGARAMTONI


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama leo Mei 25, 2024 ameongoza zoezi la usafi Ngaramtoni kata ya Olmotonyi pamoja na wananchi wa maeneo hayo


Mhe. Kaganda ametoa rai kwa wananchi wa Wilaya ya Arumeru kuenzi utamaduni wa kufanya usafi kila ifikapo Mwisho wa Mwezi kwani ni agizo la kitaifa kupitia Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Aidha, Mhe. Kaganda amewataka wananchi kulinda maeneo yao ili kuwa safi na kumtaka Mkurugenzi kupitia idara za Mazingira kutoza faini wote wanaochafua mazingira na kuwataka wanachi kuweka utaratibu mzuri wa kutunza mazingira yao.


Katika Hatua nyingine Diwani wa viti Maalumu FARAJA EMANNUEL amemwomba Mkuu wa Wilaya zoezi hili liwe angalau mara mbili kwa mwezi tarehe 15 na tarehe 30 wakati Wilaya ikiendelea kujipambambanua kuweka maeneo safi hadi pale maeneo yatakapokuwa yanaridhisha ndio iwe mara moja


Kwa upande wake Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Kichama Arumeru LEMPAMPA LUKUMAY ameishukuru Serikali na kuahidi kuendelea kuwa balozi wa mazingira na kuwawajibisha wale wote watakaojaribu kuchafua mazingira.



Halikadhalika, Waendesha bodaboda nao wameipongeze Serikali kwa hatua wanayoichukua dhidi ya Mazingira James Paul Miongoni mwa Madereva bodaboda amekiri kuwa ni kweli mazingira yao yanapokuwa safi inawavutia pia wateja kuweza kufanya kazi nao.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.