• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ye fedha yatembelea na kukagua miradi saba yenye thamani ya takribani milioni 800

Posted on: May 1st, 2018

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango , halmashauri ya Arusha imefanya ziara ya kukagua jumla ya miradi ya maendeleo saba yenye inayokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia 800 kwenye sekata za Elimu na Afaya.


Ziara hiyo ni ya kawaida kwa mujibu wa sheria ya Kamati hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maenedele kwa kila robo ya mwaka, na ziara hiyo ilikuwa ni ya kipindi cha robo ya tatu cha Januari -Machi, kwa mwaka wa fedha 2017/18,  yenye lengo la kukagua na kujionea utekelezaji wa shughuli za miradi ya maendeleo katika maeneo vijiji na kata ndani ya halmashauri, Ziara hiyo hufuatilia miradi ambayo hupitishwa na baraza la waheshimiwa madiwani wa halmashauri hiyo.

Jumla ya miradi sita katika sekta ya Elimu na Afya imetembelea ikiwa ni pamoja na mradi wa ujenzi na upanuzi wa Kituo cha Afya Nduruma, umaliziaji wa kituo cha Afya Manyire, ukarabati wa maabara shule ya sekondari Oldonyosambu na Sambasha, ujenzi wa darasa shule ya msingi Sambasha, shule ya sekondari Sambasha na Ilkiding'a pamoja na ujenzi wa Zahanati ya Kivululu kata ya Olturoto.

Aidha katika majumuisho ya ziara, licha ya kuonekana utekelezaji bora wa miradi hiyo, Mwenyekiti wa halmashauri ya Arusha Mhe. Noah Lembris kwa niaba ya wajumbe wa kati hiyo ya Fedha,  ameendelea kusistiza kwa watalamu na wananchi hasa wajumbe wa kamati za ujenzi katika kata na vijij pamoja na watalamu, kuendelea kujifunza zaidi katika matumiz ya 'Forced Account' kwa lengo la kuondoa changamo zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa miradi hiyo.

Hata hivyo wajumbe wa kamati hiyo kwa pamoja wameendele kuridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo huku wakiwapongeza wataalam na wananchi kwa kujitoa kwa hali na mali wakati wa utekelezaji wa miradi katika maeneo yao.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.