• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

KUFIKIA KILIMO BIASHARA WATOTO WAANDALIWE KUWA WAFUGAJI..

Posted on: August 7th, 2022

Na Elinipa Lupembe

Jamii imetakiwa kuwaandaa watoto kuwa wajasiriamali wafugaji kwa kuwaanzishia ufugaji mdogo wa sungura nyumbani ikiwa ni mkakati wa kufikia Ajenda ya10 -30 ya Kilimo Biashara.

Sungura anauwezo wa kuongeza mnyororo wa thamani, kwa mfugaji mbali na nyama na mbolea, mkojo wa sungura huuzwa kwa ajili ya dawa ya kuulia wadudu kwenye mboga mboga na matunda.

Rai hiyo imetolewa na Daktari wa Mifugo halmashauri ya Arusha Dkt. Yohana Kiwone, wakati akielezea mkakati wa kufikia Ajenda ya 10 - 30 ya Kilimo biashara, kwenye maonyesho ya kilimo Nanenane Kanda ya Kaskazini, yanayofanyika kwenye viwanja vya Themi - Njiro jijini Arusha.

Dkt. Kiwone amefafanua kuwa ili kuwa na jamii ya wafugaji wajasiriamali, wanaoendana na mabadiliko ya Sayansi na teknolojia, ni vema kuwaandaa watoto kwa kuwafundisha ufugaji wa sungura tangu wakiwa wadogo na baadaye kuendelea kuwa wafugaji wakubwa katika maisha yao ya utu uzima.

Ameongeza kuwa, tafiti zinaonyesha watoto wengi hasa wa kiume wanapenda sana sungura, wazazi na walezi tumieni fursa hiyo kuwawezesha watoto kufuga sungura nyumbani huku akisisitiza  ufugaji wa sungura kuwa ni rahisi, unafanyika nyumbani kwenye  eneo dogo huku sungura wakiwa na uwezo wa kuzaa watoto 8 mpaka 12 kwa uzao mmoja na wanauwezo wa kuzaa mara tano kwa mwaka.

"Watoto wanapenda sana sungura, hivyo ni rahisi kumuwezesha mtoto kufuga sungura nyumbani, ikiwa ni maandalizi ya kuwa mfugaji hapo baadaye akiwa kwenye maisha yake, sungura anabeba mimba kati ya siku 5 -35, na kuzaa watoto 8-12, ambao watauzwa na kufanyika kama chakula cha nyumbani" amesisitiza Dkt. Kiwone.

Allan Salvatory, ni mfugaji wa sungura, kitongoji cha Mbalakai ambaye amekiri kupenda sungura na wanampatia kipato ambacho hutumia kununua mahitaji yake ya shule huku wengine wakitumika kama kitoweo nyumbani.

"Mimi ninafuga sungura, niliona kwa rafikia yangu anafuga, mwisho nikamamua kununua sungura wawili na kuanza kufuga, sungura wana faida, wakikua huwa huwa nawauza, nimeambiwa mkojo wake hutumika kuulia wadudu ila bado sijaanza kuuuza huwa nawagawia watu bure". Amesema Allan

Naye Abdal Mvungi mtoto anayeishi Sekei, amekiri kuwa, ni rahisi kufuga sungura kwa kuwa mlo wao mkuu  ni pumba, majani na maji na ukuaji wake huchukua muda wa miezi minane mpaka kuliwa na huuzwa kwa ahilingi elfu 10 mpaka 15 kwa sungura mmoja..


SHIRIKI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022

JIANDAE KUHESABIWA 23.08.2022 ✍✍




Matangazo

  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA TATU 2O21/2022 tarehe 09.05.2022 May 08, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA ARUSHA DC,BW.SELEMAN MSUMI AKIWA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI HIYO KATIKA MASDHIMISHO YA MEI MOSI KIMKOA ARUSHA

    May 02, 2025
  • HERI YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • HERI YA SIKU YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • MHE. MAJALIWA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.