• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MAFUNZO KWA WATENDAJI ARUSHA DC

Posted on: March 27th, 2025

Halmashauri ya Wilaya ya Arusha yatoa Mafunzo Kwa Watendaji wa Kata na Vijiji kupitia mfumo wa TAUSI ili kuboresha utoaji wa huduma ya ukusanyaji wa kodi za majengo,mabango na utoaji wa vibali vya ujenzi kidigitali na kupunguza usumbufu kwa wananchi kufika Halmashauri kwa ajili ya kupata huduma hizo.

Akifungua mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo bwana Seleman Msumi amesema kuwa, awali huduma ya ukusanyaji wa kodi za majengo na mabango zilikuwa zikitolewa kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa njia ya analogia na kwa sasa huduma hizo zimerejeshwa Ofisi ya Rais-TAMISEMI na zitakuwa zikikusanywa na Watendaji wa Mitaa badala ya kuajiri watu wa kukusanya huku vibali vya ujenzi vitakuwa vikitolewa na wataalamu kidigitali pasipo mwananchi kulazimika kufika ofisini.

Msumi mesema kuwa, kupitia mfumo wa TAUSI mwananchi anaweza kupata kibali cha ujenzi ndani ya siku moja tofauti na awali ambapo vibali vilikuwa vikichukua muda mrefu na kuwafanya wananchi kupata usumbufu wa ufuatiliaji usiokuwa na lazima.

Pia, amesema kuwa kutokana na baadhi ya majengo kutolipiwa kodi ya majengo kwa kukosa umeme kupitia mfumo wa TAUSI majengo yote yanayotumika wamiliki watatakiwa kulipa kodi baada ya watendaji wa Kata, Vijiji na Vitongoji kuwasajili kwenye mfumo huo.

Kwa upande wake Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha CPA Shabani Kisija amebainisha kuwa kupitia ukusanyaji wa kodi hizo Halmashauri kupitia makusanyo ya kodi za majengo itapata asilimia 20 na asilimia 100 kupitia makusanyo ya ushuru wa mabango ambapo awali fedha hizo zilielekezwa Serikali kuu.

CPA Shabani metoa wito kwa wananchi kutoa ushirikiano kwa Watendaji watakapokuwa wakipita katika maeneo yao kwa ajili ya usajili kwani kodi hizo sio mpya bali ni maboresho yaliyofanyika kutoka analogia kwenda digitali ili kurahisisha utoaji na upatikanaji wa huduma kwa ufanisi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.