• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MWENYEKITI WA CCM MKOA WA ARUSHA AHESABIWA NA KUSISITIZA KUWA SENSA YA MWAKA HUU NI YAKIDIGITALI

Posted on: August 23rd, 2022

Na Elinipa Lupembe

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Arusha  ndugu Steven Zelothe Steven na familia yake, tayari ametimiza wajibu wake, kama Mkuu wa Kaya, kwa kuhesabiwa kwenye Sensa ya Watu na Makazi nyumbani kwake eneo kitongoji cha Olosiva kata ya Oloirieni mapema leo.

Mwenyekiti Zelothe, akiwa na mkewe mama Janeth Zelothe, ameipongeza Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Taifa, mheshimiwa Rais, Samia Suluhu Hassan kwa kutekeleza zoezi la Sensa ya Watu na Makazi, zoezi ambalo linatarajiwa kuwa na matokeo chanya na makubwa ya kimaendeleo nchini.

Amefafanua kuwa licha ya kuwa zoezi la Sensa ni utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020 -25, lakini pia, ni zoezi lenye mafanikio makubwa kwa maendeleo ya watanzania kwa kuiwezesha serikali kupanga mipango ya kimaendeleo kisekta kwa kuzingatia idadi ya watu kwa makundi yao.

Aidha amekiri kushiriki zoezi la Sensa mara kadhaa na kuweka wazi kuwa Sensa ya mwaka huu  ni tofauti na Sensa zilizopita, Sensa iliyoandaliwa kukusanya takwimu kupitia mfumo wa kidigitali, jambo ambalo linatoa taswira ya kuwa na takwimu nyingi zilizo sahihi.

"Ninaipongeza Serikali kwa kutumia muda wa kutosha kuelimisha jamii umuhimu wa Sensa, makundi mbalimbali yamehamasisha Sensa ikiwemo, viongozi wa dini, siasa na hata viongozi wa mila, kila mmoja kwa nafasi yake amehakikisha, watanzania wanaingia kwenye Sensa wakiwa na taarifa sahihi huku wakitambua umuhimu wa kuhesabiwa" Amesema Mwenyekiti Zelothe

Zoezi la Sensa ya watu na Makazi linaendelea katika halmashauri ya Arusha,huku kukiwa na hali ya amani na utulivu, wakazi wa halmasahuri hiyo wakiwa nyumbani kusubiri Makarani wa Sensa kufika kwenye kaya zao.

HAKIKISHA UMEHESABIWA✍✍



Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.