• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

SHUGHULIKIENI CHANGAMOTO MAPEMA MSISUBILI TUME ZIUNDWE: WAZIRI TAMISEMI MHESHIMIWA BASHUNGWA

Posted on: March 19th, 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala zaMikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Innocent Bashungwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala wote nchini kuhakikisha wanashughulikia changamoto za Halmashauri ingali mapema kuliko kusubiria mpaka Tumeziunde kuja kuchunguza.

Bashungwa ameyasema hayo wakati akifunga Kikao kazi za Wakuu wa Mikoa cha kuwapitisha kwenye Sura ya Mipango na Bajeti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa mwaka wa fedha 2022/23.

Amesema ninyi ni wasimamizi wa Halmashauri kwenye Mikoa yenu ikiwa mambo hayaendi sawa katika eneo lolote ni rahisi kujua mapema sasa kwanini msidhibiti changamoto hizo mnasubiria mpaka TAMISEMI tulete Tume wakati uwezo na Mamlaka mnayo? Alihoji Mhe. Bashungwa

Sasa nataka kuona mnachukua hatiamapema kabla mambo hayajaharibika huko hii itasaidia kupunguza malalamiko na shughuli za maendeleo kutekelezwa kwa ubora. 

Halikadhalika Mhe. Bashungwa ameelekeza viongozi hao kusimamia ipasavyo Mfumo wa Nidhamu ya Watumishi katika Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa  ili kushughulikia watumishi wote wanaokwenda kinyume na sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma.   

Mhe. Bashungwa alihitimisha kikao hicho kwa kuwataka viongozi hao kuendelea  lkuongeza usimamizi kwenye Ukusanyaji waMapato ya ndani ya Halmashauri ili kufikia Malengo ya kukusanya zaidi ya shilingi Trilioni moja kwa mwaka wa fedha wa 2022/23.


Chanzo: TAMISEMI

KaziIendelee✍✍✍






Matangazo

  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA TATU 2O21/2022 tarehe 09.05.2022 May 08, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA ARUSHA DC,BW.SELEMAN MSUMI AKIWA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI HIYO KATIKA MASDHIMISHO YA MEI MOSI KIMKOA ARUSHA

    May 02, 2025
  • HERI YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • HERI YA SIKU YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • MHE. MAJALIWA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.