• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAFUNZI 851 KUANZA MITIHANI YA KIDATO CHA SITA NA VYUO VYA UALIMU ARUSHA DC.

Posted on: May 3rd, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Jumla ya watahiniwa  851  halmashauri ya Arusha,  wanategemea kuanza mitihani yao ya taifa  ya kidato cha sita na vyuo vya Ualimu leo 03.05. 2021,  kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihani la Taifa -NECTA.

Akizungumza na mwandishi wetu, Mwenyekiti wa Kamati ya Mtihani, halmashauri ya Arusha ambaaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule, amethibitisha jumla ya watahiniwa 851, watafanya mitihani yao taifa ya kuhitimu kidado cha sita na vyuo vya Ualimu katika halamshauri hiyo kwa mwaka  wa masomo 2021, kwa kuzingatia ratiba iliyotolewa na Baraza la Mitihanainla Taifa -NECTA.

Mwenyekiti Mtambule, amesisitiza kuwa maandalizi yote yamekamilika kwa mujibu wa sheria na taratibu za mitihani ya Taifa na kuwataka wasimamizi wa mitihani hiyo, kufanya kazi hiyo maalumu kwa kuzingatia maelekezo yaliyotolewa kwenye semina elekezi, huku akiwasisitiza  kujiepusha na vitendo vya udanganyifu katika mitihani hiyo kwani ni kinyume na sheria Za nchi.

"Kamati imepitia vituo vyote na kuzungumza na watahini, huku ikijiridhisha na maandalizi yote, niwasisitize wasimamizi wa mitihani kufuata maelekezo, taratibu zote za mitihani na kujiepusha na vitendo vya udanganyifu kwa kuwa haruhusiwi mtu yoyote kushiriki udanganyifu au kuwezesha udanganyifu katika mitihani".Amesisiatiza Mwenyekiti huyo wa Kamati ya Mtihani.

Naye Afisa Elimu Sekondari, halmashauri ya Arusha, mwalimu Menard Lupenza amefafanua kuwa, idadi hiyo ya watahiniwa 851, wapo watahiniwa wa shule 'school candidates' watahiniwa binafsi 'private candidates' pamoja na watahini wa vyuo vya ualimu ngazi ya Cheti na Stashahada.

Aidha ameweka wazi kuwa kati ya hao 851, watahiniwa 686 ni wa shule, wakiwa wavulana  323 na wsichana 383 na kufanya mitihani kwenye shule 11 za sekondari, watahiniwa 143 ni wa binafsi, wakiwa wavulana 56 na wasichana 87, wakifanya mitihani yao kwenye vituo 4 na watahiniwa 22 ni wa vyuo vya Ualimu,  wavulana 12 na wasichana 10 wakifanya mitihani kwenye vituo 2.

Awali, uongozi wa halamshauri ya Arusha unawatakia kila la kheri watahiniwa wote, katika mitihani yao ya kuhitimu kidato cha sita na vyuo vya Ualimu kwa mwaka wa masomo 2021.


KILA LA KHERI WATAHINIWA WOTE WA KIDATO CAH SITA NA VYUO VYA UALIMU NGAZI YA CHETI NA STASHAHADA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.