• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

MILIONI 760 ZAKAMILISHA VYUMBA 38 VYA MADARASA YA KIDATO CHA I 2023 .....................

Start Date: 2022-12-12
End Date: 2022-12-31

Mazingira bora ni nyenzo muhimu katika tendo la kujifunzia kwa mwanafunzi na kufundishia kwa mwalimu na  ambayo huleta hamasa kwa mwanafunzi kujifunza kupitia milango yote ya fahamu. Serikali ya awamu ya sita imetekeleza kwa vitendo uwepo wa mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia kwenye shule za sekondari nchini, kwa kujenga vyumba 8,000 vya madarasa maalum kwa ajli ya wanafunzi kwa kidato cha kwanza 2023.Halmashauri ya Arusha ni miongoni mwa halmashauri nchini, iliyopokea kiasi cha shilingi milioni 760 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 38 vya madarasa kwenye shule 18 za sekondari za halmasahuri hiyo.Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Seleman Msumi, amekiri kupokea kiasi hicho cha fedha kilichotumika kujenga vyumba 38 vya madarasa, viti na meza za wanafunzi, pamoja na ofisi 7 za walimu kwenye shule 6 kati ya shule hizo 18.Hata hivyo viongozi wa chama na serikali wa halmashauri ya Arusha wamezungumzia ufahari wa mradi huo wa ujenzi wa vyumba vya madarasa kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2023.Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango amesema kuwa, uwepo wa vyumba vya madarasa umewapa fursa na kuwahakikishia wanafunzi 7,856 waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka 2022 na kupangiwa shule za sekondari za serikali halmashauri ya Arusha sawa na 100% kuanza shule kwa wakati mapema Januari 9 kwa mujibu wa ratiba ya masomo ya mwaka huo.Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi  wilaya ya Arumeru, Komredi Noel Severe amewapongezwa watalamu, viongozi pamoja na wananchi kwa kusimamia vema Ilani ya CCM, utekelezaji unaofanyika kupitia miradi ya maendeleo inayoletwa na serikali katika maeneo yao.Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi, Mhe. Noah Lembris amesema kuwa katika kipindi cha awamu ya sita, Jimbo lake limepata fedha nyingi za kutekeleza miradi ya maendeleo tofauti na awamu zilizotangulia.

Matangazo

  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA TATU 2O21/2022 tarehe 09.05.2022 May 08, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MKURUGENZI WA ARUSHA DC,BW.SELEMAN MSUMI AKIWA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI HIYO KATIKA MASDHIMISHO YA MEI MOSI KIMKOA ARUSHA

    May 02, 2025
  • HERI YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • HERI YA SIKU YA MEI MOSI

    May 01, 2025
  • MHE. MAJALIWA MGENI RASMI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI

    April 29, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.