• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Agizo

Posted on: April 11th, 2017

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Pastori Mnyeti amewapa siku tatu wakazi wa kitongoji cha Ilkiurei kata ya Kiranyi waliojenga nyumba kwenye mkondo wa maji kubomoa wenyewe nyumba hizo kabla serikali haijaanza kubomoa kutokana na nyumba hizo kuzuia maji kupita na kusababisha maji kujaa ndani ya nyumba nyingi za wakazi hao hasa wale wasio na uwezo wa kujizatiti kwa maji hayo pindi mvua zinaponyesha.

Mhe. Mnyeti amezungumza hayo wakati alipotembelea maeneo ya Kitongoji hicho na kushuhudia uharibifu mkubwa unaotokana na maji hayo kukosa mwelekeo na kuishia kwenye nyumba za watu na kuhatarisha maisha ya watu hao.

Mkuu huyo wa wilaya amemuagiza mhandisi wa barabara halmashauri ya Arusha Mhandi Fredi Mboye na viongozi wa kata na kitongoji hicho akiwemo Diwani wa kata ya Kiranyi Mhe. Jombi Seneu kukaa kikao cha kupanga mkakati wa utekelezaji wa kubomoa nyumba hizo kama wananchi hao watakaidi amri ya kubomoa kwa hiari yao wenyewe.

Awali Mhe. Mnyeti alitembelea eneo hilo baada ya mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Fatiki Kingazi mkazi wa Unga Ltd Jijini Arusha kufariki dunia kutokana na nyumba aliyokuwa amelala kujaa maji na ukuta kuanguka katika eneo la Mangurueni kitongoji cha Ilkiurei kata hiyo ya Kiranyi.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Jumapili ya tarehe 09.04.2017 lililosababishwa na maji ya mvua iliyokuwa ikinyesha kujaa kwenye nyumba hiyo na kusababisha ukuta wa nyumba hiyo kuanguka kutokana na maji hayo kukosa mwelekeo kwa kuwa wakazi wa maeneo hayo wamezuia mkondo huo wa maji kwa kujenga.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.