• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Alichozungumza DC wa Arumeru Mhe. Jerry Muro kwenye Mkutano wa Baraza la Madiwani Arusha DC.

Posted on: August 11th, 2018

# Ameahidi kuanza na kushughulikia migogoro ya ardhi inayowakabili wananchi na kuwataka Madiwani hao, kuungana na Serikali ya awamu ya tano, kutatua migogoro ya ardhi huki akiwaonya kutokujihusisha na migogoro hiyo kwa maslahi yao binafasi kulingana na nafasi zao katika jamii.

# Amewataka Madiwani kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na kushiriki  kusimamimia ukusanyaji wa mapato katika maeneo yao,  ili kuongeza kiwango cha ukusanyaji katika halmashauri hiyo.

# Amethibitisha kuwa ikiwa kutakuwa na usimamizi imara wa ukusanyaji wa mapato, kupitia vyanzo vya mapato vilivyo na kubuni vyanzo vingine vipya, halmashauri ya Arusha, inaweza kukusanya mapato zaidi  na kuweza kufiisha kiasi cha shilingi billion kumi kwa mwaka.

#Endapo madiwani hawatashiriki katika usimamizi thabiti waukusanyaji wa mapato, ni dhahiri halmashauri italazimika kutolipa posho za madiwani hao pamoja na kuvunjwa kwa baraza la madiwani kutokana na wao kushindwa kutekeleza majukumu yao.

# Amewataka Madiwani kufanya kazi ya kuwatumikia wananchi, kwa weledi kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu huku wakiendelea kutekeleza Ilani ya Chama tawala Chama kilichopo madarakani, Chama cha Mapinduzi.

# Ameagiza Idara ya Maendeleo ya Jamii kumpatia, taarifa ya mwenendo wa utoaji mikopo ya wanawake na vijana, mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani  kwa kipindi cha miaka mitano ya nyuma kuanzia sasa, ili kuona vikundi ambavyo vilipatiwa mikopo hiyo huku akisisitiza utoaji wa mikopo hiyo kila baada ya makusanyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DKT. PASCAL KATIKA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 19, 2025
  • WIKI YA UTUMISHI WA UMMA

    June 18, 2025
  • MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI

    June 17, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.