• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Arusha DC yakazia uzi Kampeni ya Usichukulue poa nyumba ni choo.

Posted on: November 18th, 2018

Halmashauri ya wilaya ya Arusha wilayani Arumeru, imejiwekea mikakati imara, kufuatia agizo la Serikali kila kaya kuwa na choo bora kimachotumika, ifikapo tarehe 31 Disemba 2018 na kampeni ya 'Usichukulie poa, Nyumba ni Choo'.

Mikakati hiyo imewekwa, kufuatia kikao kazi kilichokutanisha wadau mbalimbali wa afya ikiwemo, madiwani, wenyeviti wa vijiji na watalamu kuanzia ngazi za kata, vijiji hadi halmashauri, kilichofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita, chenye lengo la kupata matokeo ya utafiti wa hali ya vyoo kulingana na mabadiliko ya tabia za afya utafiti uliofanywa na shirika la SNV.

Matokeo ya utafiti huo, yamesababisha halmashauri, kuwa na mbinu thabiti, zitakazowezesha kila kaya inakua na choo bora chenye miundombinu ya kunawia mikono, mara baada ya kutoka chooni, ikienda sambamba na agizo la Serikali la kila kaya kuwa na choo ifikapo tarehe 31.12.2018.

Akizungumza wakati wa kufunguzi wa kikao kazi hicho, Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Arusha, Anastazia Tutuba, amewataka watendaji wa kata na vijiji, kuweka mikakati thabiti kwenye maeneno yao itakayowezesha kila Kaya inakuwa na choo kinachotumika.

Amewataka viongozi hao, kutumia sheria ndogo za vijiji kuwabana watu wasio na vyoo, pamoja na kufanya ufuatiliaji wa nyumba kwa nyumba na kaya kwa kaya kukagua, endapo kaya haina choo kuwataja kujenga, kuepuka kuingia matatani ifikapo tarehe ya mwisho iliyowekwa na Serikali kupitia kampeni ya usichukulie poa, nyumba ni choo.

"Wananchi wanapaswa kutambua Serikali iko makini na Kampeni ya Usichukulie ya usichukulie poa nyumba ni choo, hivyo pitieni kila kaya kuwahamasisha kujenga vyoo bora na kuvitumia, na kuwaeleza madhara ya kukosa choo ifikapo Disemba 31, 2018" amesema Kaimu Mkurugenzi huyo.

Akitoa matokeo ya utafiti uliofanywa na shirika lisilo la kiserikali la SNV, linalojishughulisha na Usafi binafsi na usafi wa mazingira, Mratibu wa Shirika hilo, Jackson Wandera, amesema kuwa licha ya kuwa  idadi ya kaya zenye vyoo inaongezeka lakini tafiti zinaonesha bado kuna changamoto kwenye tabia binafsi ya mtu kutokunawa mikono, mara baada ya kutoka chooni pamoja unawaji mikono kwenye hatua tano muhimu.

Wandera amefafanua kuwa, bado watu hawanawi mikono kwa kufuata zile hatua tano, za unawaji mikono, kabla ya kula, baada ya kutoka chooni, kabla ya kuandaa chakula, kabla ya kumnyonyesha mtoto na...

Kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu, choo kipo lakini hakitumiki huku sehemu nyingine, choo kipo kinatumika lakni watu hawanawi mikono mara baada ya kutoka chooni, na kuongeza kuwa jamii inatakiwa kubadilika na kujijengea tabia ya usafi binafsi na si kwa sababu ya kukaguliwa na serikali.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.