• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ARUSHA DC YAPOKEA SHILINGI MILIONI 750 ZA P4R KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: April 22nd, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

 Serikali kupitia mradi wake wa Lipa kutokakana na Matokeo, P4R imetoa kiasi cha shilingi milioni 750, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta ya elimu na afya, hàlmashauri ya Arusha, ikiwa ni utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye bajeti ya mwaka wa fedha 2020/2021.

Akizungumza na wmandishi wetu ofisini kwake, Mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule, amethibitisha kupokea kiasi hicho cha fedha na kufafanua kuwa, serikali imeelekeza fedha hizo kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya shule ikiwa ni vyumba vya 14 vya madarasa, matundu 12  ya vyoo, pamoja na mabweni manne katika shule mbili za sekondari.

Aidha Mkurugenzi huyo, amefafanua kuwa, upatikanaji wa fedha hizo umekuja baada ya halmsahuri hiyo kutekeleza mirada ya EP4R kwa ufanisi mkubwa, na kuahidi kuendelea kusimamia matumizi ya fedha hizo kwa kuzingatia kanuni, sheria, taratibu na miongozo ya matumizi ya fedha za serikali, huku miradi hiyo ikitekelezwa kwa ubora  na kukamilika kwa wakati.

"Tumepata fedha hizi, kutokana na halmashauri yetu, kutekeleza kwa ustadi miradi iliyotangulia ya P4R, tulihakikisha miradi tuliyoletewa na serikali ilitekelezwa kwa kuzingatia kanuni, sheria, taratibu na miongozo ya matumizi ya fedha za umma, na tutahahakishisha fedha hizi zitatekeleza miradi hiyo kama iliyoelekezwa kwa manufaa watanzania" ameweka wazi Mkurugenzi huyo.

Naye Afisa Mipango halmashauri ya Arusha, Anna Urio ameweka wazi kuwa, kiasi hicho cha shilingi milioni 750, zitatumika kujenga vyumba 14 vya madarasa na miundombinu ya vyoo kwa gharama ya shilingi milioni 280, shilingi milioni 320 kujenga mabweni manne ya shule mbili za sekondari, huku shilingi milioni 150 zikielekezwa katika ukamilishaji wa  zahanati tatu.

"Shilingi milioni 280, zitajenga vyumba 14 vya madarasa katika shule tatu za msingi, na shule 4 za sekondari kwa gharama ya shilingi milioni 40 kwa darasa, na shilingi milioni 150, zitakwenda kukamilisha ujenzi wa zahanati 3 kwa gaharama ya shilingi milioni 50 kila zahanati na ujenzi wa mabweni manne kwa shule mbili za sekondari kwa shilingi milioni 320, milioni 160 kwa kila shule" amefafanua Afisa Mipango huyo.

Hata hivyo Afisa Mipango huyo, amesisistiza kuwa fedha hizo zitatumia utaratibu wa 'forced account' kwa kutumia 'Local fundis' pamaja na matumzi ya rasilimali zinazopatikana katika maeneo husika, huku kukiwa na ushirikishwaji wa wananchi kupitia kamati za ujenzi pamaja na viongozi wa ngazi za vijiji na kata husika.

Awali imeelezwa kuwa, miradi hiyo itatkelezwa katika shule za msingi  Kambi ya Maziwa, Ilboru na Olimringaringa, shule za sekondari Kiranyi, Kiseriani, Likamba,  Einoti na Iking'a zote zikitekeleza ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa kila shule pamoja na samani, ujenzi wa mabweni manne kwa shule mbili za sekondari pamoja na ukamilishaji wa ujenzi wa zahanati za Ilkurot, Laroi na Kigongoni, zote zikiwa kwenye kata za pembezoni.


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.