• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

ARUSHA NA URUSI ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA KWENYE SEKTA MBALIMBALI IKIWEMO YA UTALI

Posted on: October 17th, 2024

ARUSHA NA URUSI ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA KWENYE SEKTA MBALIMBALI IKIWEMO YA UTALII.


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Paul Christian Makonda amekutana na kuzungumza na Balozi wa Urusi nchini Tanzania Mhe. Andrey Avetisyan na kukubaliana kuendelea kushirikiana katika kukuza Utalii wa Arusha na kuvutia wawekezaji wengi zaidi raia wa Urusi kuja kuwekeza Mkoani Arusha.


Kwenye mazungumzo yao, Mhe. Makonda amwambia Balozi huyo wa Urusi kuwa Mko wa Arusha una fursa mbalimbali za uwekezaji zikiwemo Hoteli za Kitalii zenye hadhi ya nyota 5, Kumbi za Mikutano za Kimataifa, pia sekta ya Kilimo cha maua na mbogamboga pamoja na uwekezaji kwenye sekta ya usafiri wa Anga kutokana na mahitaji makubwa ya Utalii kwani Arusha ndiyo lanho kuu la Utalii Nchini.


Balozi Avetisyan kando ya Ratiba zake nyingine, Leo alhamisi Oktoba 17, 2024 anakutana na wafanyabiashara na Wawekezaji wa Kirusi waliopo Mkoani Arusha ambapo pia Mhe. Makonda ameahidi kushirikiana na Wawekezaji hao katika kurahisisha mazingira ya uwekezaji Mkoani hapa na kusema kuwa Ofisi yake ipo wazi muda wote katika kuhudumia wageni na wenyeji wa Mkoa huo ulio muhimu kwa Utalii, biashara na shughuli mbalimbali za kidiplomasia.


Ikumbukwe kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1960 mpaka 1980 Nchi ya Urusi (USSR) chini ya sera zake za Kijamaa ilisaidia ukombozi wa Nchi nyingi za Afrika ilishirikiana bega kwa bega kutoa misaada wa hali na mali ikiwemo mafunzo na rasimali nyingine ili kuondoa utawala wa kikoloni na kuziwezesha Nchi za Afrika kuwa huru na kujitawala.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.