• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI ARUSHA DC LAPITISHA BAJETI YA 2025/2026

Posted on: February 7th, 2025

Wajumbe wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kwa pamoja wameazimia kuipitisha bajeti ya Halmashauri hiyo kiasi cha shilingi bilioni 71 kwa mwaka wa fedha 2025/2026.


Makamu Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Arusha Mh.Fredy Lukumay amewapongeza wajumbe wa Baraza Hilo kwa kuazimia kupitishwa kwa bajeti hiyo,huku akitoa shukrani za dhati kwa idara ya mipango na uratibu kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa bajeti hiyo.

"Kwakweli niseme tu tumeridhishwa na bajeti hii,nichukue nafasi hii kuipongeza Idara ya mipango Halmashauri ya Wilaya Arusha kwa kuandaa bajeti nzuri na yenye tija kwa wananchi wetu". Alisema Mh.Fredy

Vile vile, Mh Fredy aliongeza kwa kusema kuwa bajeti iliyopitishwa imezingatia maelekezo ya Serikali sambamba na utekelezaji wa Irani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani imejikita katika kutekeleza miradi ya maendeleo ya Wananchi.

"Bajeti hii imegusa maeneo muhimu ikiwemo afya, Elimu,miundombinu katika kuzingatia maboresho na utengenezaji wa barabara kwa kata zote 27,kwa ujumla sisi Madiwani kwaniaba ya wananchi tumeridhika na bajeti hii, tunachotarajia sasa ni bajeti hii iweze kupitishwa dodoma kwa ajili ya utekelezaji".Alisema Mh Fredy.

Kwa upande wake Mh.Eric Semboja Diwani Kata ya Olorien alisema kuwa bajeti iliyopitishwa inatarajiwa kukamilisha baadhi ya miradi ambayo haikukamilika kwa mwaka wa fedha 2024/2025, hivyo bajeti hiyo itakwenda kukamilisha miradi miradi hiyo sambamba na ikiwemo kutekeleza miradi mingine mipya kwenye Kata zote 27.

"Kwakweli tunarajia kuona mabadiliko mengine makubwa kupitia bajeti hii,pamoja na kukamilisha baadhi ya miradi ambayo bado iko kwenye utekelezaji lakini wananchi watarajie kuona miradi mingine mipya na yenye tija kwenye maeneo yao ambayo itasaidia kuchochea uchumi kwa vijana wetu". Alisema Mh.Eric.

Baraza hili maalum la madiwani limekutana kwa ajili ya kupitisha bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026,likiwa limeudhuliwa pia na Taasisi nyinginezo za Serikali ikiwemo Tarura,Ruwasa,Tanesco pamoja wataalam wa idara mbalimbali kwa ajili ya kuwakilisha mipango yao ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha ikiwa ni utaratibu wa baraza hilo katika kuwahusisha wakuu

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.