• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LASHAURI MAREKEBISHO YA UWAJIBIKAJI KAMATI ZA USIMAMIZI MIRADI YA TASAF

Posted on: June 8th, 2020

Na. Elinipa Lupembe.

Wajumbe wa Baraza la Madiwani halmashauri  ya Arusha, wilaya ya Arumeru, waimeshauri Serikali kuangaliwa upya mwenendo wa Kamati za usimamizi wa miradi inayotekelezwa na  Mfuko wa Maendeleo ya Jamii - TASAF, kwa kuwa baadhi ya miongozo imekuwa hazitoi fursa kwa viongozi wa ngazi ya kata kuwajibika kwenye kamati hizo.

Akizungumza wakati wa mkutano wa Baraza la Madiwani, Diwani wa Viti Maalum, mheshimiwa Jasmin Bachu, amesema kuwa, baadhi ya wajumbe wa kamati hizo, wameonekana kutokuwa waaminifu na kushindwa kuwajibika ipasavyo katika katika usimamizi wa miradi ya maendeleo na viongozi wa kata kushindwa kukemea ja,bo hilo, kutokana na viongozi hao, kutokuwa na uwezo wa kufanya hivyo kisheria.

Licha ya kuzungumza hayo, Mhe. Bachu amesema kutokana na sheria, kanuni na miongozo iliyopo kwa sasa, inawanyima nafasi hata madiwa kuhoji na kupata taarifa za wazi az shughuli zote za maendeleo zinazosimamiwa na kamati hizo.

Aidha wameishauri serikali, kufanyike marekebisho kwenye miongozo ya TASAF, juu ya uundwaji wa kamati hizo, ziweze kuwajibika kwa viongozi wa kuanzika ngazi ya kijiji, kata na halmashauri, ili usimamizi wa miradi hiyo ufanyike kwa uwazi kwa wananchi wote.

"Kutokana na kamati hizo, kutowajibika moja kwa moja kwa viongozi wa ngazi ya kata, kumekuwa na ukosefu wa taarifa za wazi za utekelezaji wa miradi hiyo kwa wananchi na kuwafanya madiwani kushindwa kuhoji hata wanapoona mapungufu" amesema Diwani huyo.

Naye Mwenyekiti wa halmashauri ya Arusha, Baraka Simon, amekitaka Kitengo cha TASAF, kukusanya maoni yote na kutuma mapendekezo kwa Serikali kuu, ili kufanya marekebisho, baadhi ya kanuni na taratibu ambazo zitatoa fursa kwa viongozi wa kata kuhusika moja kwa moja kwenye usimamizi wa miradi ya maendeleo katika jamii.

"Mratibu wa TASAF, kusanya maoni ya wajumbe na kutuma mapendekezo hayo kwa serikali kuu kwa lengo la kuboresha baadhi ya sheria ambazo haziwaruhusu Madiwani, kuingia moja kwa moja kusimamia miradi ya TASAF tofauti na kuizungumzia kwenye mikutano ya Baraza" amesema Mwenyekiti.

Hata hivyo Mratibu wa TASAF, Grace Makema ameafiki kuwasilisha mapendekezo hayo serikali kuu, na kutoa ufafanuzi wa miundo ya kamati za miradi ambayo inatolewa na serikali kuu ikiwa ni lengo halisi la miradi ya jamii kusimamiwa na jamii yenyewe.

Amefafanua kuwa, Wajumbe wa Kamati hizo, huchaguliwa na wananchi kwenye mkutano mkuu wa kijiji, na kupewa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa usimamizi wa miradi na zinawajibika  kwa viongozi wa serikali ya kijiji, licha ya kukumbana na baadhi ya changamoto za kimahusiano kati ya viongozi wa vijiji na viongozi wa kata, wakiwemo maofisa watendaji wa kata na waheshimiwa madiwani.



 

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.