• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC ARUMERU ATOA MAELEKEZO KWA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI...

Posted on: August 15th, 2023

Na Elinipa Lupembe

#Waheshimiwa Madiwani mnalo jukumu la kusimamia hali ya chakula katika maeneo yetu, tumepita kwenye ukame, lakini tuko kwenye kipindi cha mavuno, simamieni wqnanchi wenu kutunza vizuri mazao ya chakula, hususani kwenye maeneo ambayo mazao ya chakula yamepatikana.

#Simamieni shughuli zote za utekelezaji wa maendeleo kwenye kata zenu, tumieni muda kutatua migogoro na changamoto zinazowakabili wananchi, wananchi wana kero nyingi na wanajaa kwenye ofisi ya Mkuu ya wilaya, mkizishughulikiwa vizuri na kwa haki, wananchi wataendelea kuiamini serikali yao

#Wasimamieni Watendaji na Wenyeviti wa Vijiji ili kufanyae mikutano ya kisheria ya kila robo ya mwaka, simamieni usomaji wa Taarifa za Mapato na Matumizi, ili wananchi wafahamu maendeleo ya vijiji vyao,  Kamati ya Usalama ilitoa maelekezo Kila kijiji wa hakikishe mpaka mwezi wa Julai, wakamilishe mikutano ya usomaji na mapato na matumizi na taarifa ziwasilishwe kwenye ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji.

#Ameweka wazi kuwa Wilaya ya Arumeru ni lango la Jiji, tume barikiwa kupata  wageni wengi wanaopita kwenye wilaya yetu, Mazingira yetu ni machafu, Simamieni usafishaji wa mazingi, na kurudisha rasmi utaratibu wa kufanya usagi wa jumla kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi, Kiengo cha Usafi tozeni faini kwa watu wanaochafua mazingira,  Kila halmashauri itengeneze 'Kikosi kazi kwa ajili ya suala la usafi, na faini za elfu hamsini zita rudi kwa wanao tupa taka hivyo.

#Simamieni suala zima la ulinzi na Usalama wa wananchi na mali zao, kumekuwa na tabia za ubakaji,ulevi na uuzaji wa pombe haramu, matumizi ya bangi ni changamoto katika maeneo yetu, Mkiwa kama viongozi simamieni na kupambana na wahalifu ikiwezekana toeni taarifa za siri za wahalifu kwa kushirikiana na jeshi la polisi, kwa kufanya hivi wananchi watakuwa salama.

#Tendelee kusimamia ukusanyaji wa mapato na kubuni vyanzo vipya vya mapato pamoja na  kuhoji matumizi ya mapato hayo na jinsi ambavyo fedha hizo zina patikana.

#Simamieni utekelzaji wa miradi ya  maendeleo inayotekelezwa kwenye kata zetu tuichukulie  uzito unaostahili kwani Mhe. Raisi Samia Suluhu Hassani, na serikali yake yote ya awamu ya sita Wana fanya kazi kubwa sana ya kuleta fedha nyingi sana kwenye maeneo yetu.

ARUSHA DC NI YETU, TUSHIRIKIANE KUIJENGA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.