• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC ARUMERU AWATAKA WALIMU KUPAMBANA NA UVIKO 19 KWA KUCHANJA NA KUIELEIMISHA JAMII UMUHIMU WA KUCHANJA

Posted on: December 4th, 2021

Na. Elinipa Lupembe.

Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango, amewataka walimu kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya UVIKO 19 kwa, kufuata maelekezo yanayotolewa na wahudumu wa afya na zaidi kujitokeza kupata chanjo ya ugonjwa huo, ugonjwa ambao unahatarisha maisha na kuua watu wengi duniani, huku kukiwa tayari kumeibuka aina nyingine ya kirusi kinachofahamika kwa jina la 'Omicrone'.

Mkuu huyo wa wilaya ametoa rai hiyo, kwa walimu wa shule ya sekondari Ilkiding'a mara baada kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba 11 vya madarasa shuleni hapo, madarasa yanayojengwa kupitia fedha za mpango wa ustawi wa Taifa wa mapambano dhidi ya UVIKO 19, na kupata wasaa wa kuzungumza na walimu hao, masuala mbalimbali ya miundo mbinu ya shule pamoja na hali halisi ya utumishi wa Umma.

Mhandisi Ruyango, ameweka wazi kuwa, lengo la serikali kujenga miundo mbinu ya madarasa nchini kote, ni kupunguza msongamano wa wanafunzi madarasani, ikiwa ni mpango wa Taifa wa kupambana na UVIKO 19, kwa walimu na wanafunzi wakati wa kufundisha na kujifunza.

Serikali imeshatimiza wajibu wake, kwa kuweka mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia, kazi iliyobaki ni walimu kuwaongoza wanafunzi katika matumizi sahihi ya miundo mbinu hiyo, ikiwemo kuyatunza madarasa hayo na zaidi kiwasimamia kupambana na UVIKO 19, jukumu ambalo lipo mikononi mwa walimu wote ambao ni walezi wa wanafunzi wawapo shuleni.

Aidha amewasisitiza walimu hao, licha ya kuendelea kujikinga na UVIKO 19,  mapambano hayo yanakwenda sambamba na uchanjaji, Serikli imeleta chanjo awamu ya kwanza na ya pili, huku walimu wakiwa kwenye kundi lililopewa kipaumbele, na kuongeza kuwa walimu watumie fursa hiyo kuchanja huku wakiwaelimisha wanafunzi wanao wasimamia kuchanja pia.

"Jamii inawaaamini sana walimu, tumieni fursa hiyo kuokoa maisha ya watu wengi zaidi, kwa kuwaelemisha watu kufahamu umuhimu wa kupata chanjo ya UVIKO 19, pamoja na ninyi kuwa mfano wa kuchanja" amesisitiza Mkuu huyo wa Wilaya.

Hata hivyo walimu hao, wa shule ya sekondari Ilkiding'a,wameishukuru serikali ya awamu ya sita, inayoongozwa na mheshimwa Rais Mama Samia Suluhu,  kwa kujenga vyumba 11 vya madarasa kwa wakati mmoja shuleni hapo, jambo ambalo wamekiri halijawahi kutokea shuleni hapo ama shule za jirani na kuthibitisha kuwa madarasa hayo yatapunguza msongamano madarasani kulingana na idadi kubwa ya wanafunzi shuleni hapo.

Aidha walimu hao wamemuahidi mkuu wao wa wilaya, kwenda kuchanaja kwa wale ambao hawajachanja na kuendelea kuelimisha jamii katika maeneo yao, juu ya umuhimu wa chanjo ya UVIKO 19, ugonjwa ambao licha ya kupoteza maisha ya watu wengi lakini pia unaondoa amani katika jamii kwa kuwa na wasiwasi mkubwa.

Hata hivyo mkuu huyo wa wilaya amewataka wananchi wote kuchukua tahadhari dhidi ya UVIKO 19, kwa kubwa bado ni tishio kwa dunia kutokana na kirusi hicho kuwa na tabia ya kujibadilisha, amewasisititiaz wanachi wote kunawa mikono kwa sabuni maji tirirka, kuepuka msongamano, kutumia vitakasa mikono kuvaa barakoa zaidi ya yote kupata chanjo, chanjo ambayo inapunguza makali ya virusi hao pindi mtu atakapougua mardhi hayo.

ARUSHA DC

#KaziInaendelee✍✍✍




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.