• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED ARUSHA DC AONGOZA WATUMISHI NA WANANCHI KUFANYA USAFI WA MWISHO WA MWEZI

Posted on: August 29th, 2020

Na. Elinipa Lupembe.

     Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya Arusha, Saad Mtambule leo amewaongoza watumishi wa makao makuu ya halmashauri hiyo, kufanya usafi wa mazingira katika maeneo mbalimbali ya halmashauri, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Mheshimiwa Rais wa awamu ya tano, la kufanya usafi kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi.

       Wakati wa zoezi hilo, Mkurugenzi Mtambule, amewataka wananchi kuendelea kutunza mazingira yao, kwa kufanya usafi katika maeneo yote yanayowazunguka pamoja na kuhakikisha taka zote, zinahifadhiwa katika vyombo na maeneo sahihi, maeneo ambayo hayaruhusu takataka hizo kusambaa na kusababisha uchafu tena, mara baada ya kusafisha.

     Aidha amewasisitiza wananchi, kusimamia usafi kwenye maeneo ya umma kama mitaro na barabara, ili watu wenye nia mbaya wasitupe takataka na kuchafua maeneo yetu na kuhakikisha kila mmoja anakuwa mlinzi wa mwenzake ili kuwabaini watu wanaotupa takataka kwenye maeneo hayo.

     "Niwatake wananchi kusimamia usafi kwenye maeneo yetu, tuwabaini wote wanaotupa takataka kwenye mitaro na barabara, ili usafi tunaoufanya uwe na maana kwa afya na maisha yetu sote" amesisitiza Mkurugenzi huyo

  Hata hivyo watumishi na wananchi walioshiriki kufanya usafi huo, wamefurahishwa na zoezi hilo na kuahidi kuendelea kufanya usafi katika maeneo yao kila wakati huku wakihakikisha utunzaji wa taka na kulinda maeneo ya mitaro na barabara zote.

    Fidelis Lukumai, mkazi wa Ngaramtoni licha ya kufurahishwa na zoezi hilo, lililofanya pamoja na mkurugenzi wa halmashauri yao, wamesema kuwa usafi ni muhimu kwa kila mtu, na kuahidi kuendeleoa kusafisha mazingira yao pamoja na kuwabaini wanaotupa takataka katika mitaro na barabara zinazozunguka kwenye maeneo yao.

    Awali Mkurugenzi Mtambule, watumishi pamoja na wakuu wa Idara na Vitengo, wa halmashauri ya Arusha, walianza kufanya usafi mapema saa 12:00 asubuhi, na kufanikiwa kufanya usafi katika hospitali ya wilaya ya Olturumet, eneo la Ngaramtoni, Oliorieni eneo la kwa Idd pamoja na eneo la soko la Kisongo na viunga vyake, huku wananchi na wakazi wa maeneo hayo wakijitokeza kwa wingi kuungana na watumishi, kuusafisha maeneo yanayowazunguka.









Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.