• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Arusha District Council
Arusha District Council

Serikali ya jamuhuri ya Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Arusha

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Makuu
    • Mikkati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara na Vitengo
      • Utawala na Utumishi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fadha na Biashara
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Works
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo na Umwagiliaji na Ushirika
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Internal Audit
      • Nyuki
      • Uchaguzi
      • UKIMWI/ AIDS
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Livestock
    • Wadau wa Maendeleo
  • Huduma Zetu
    • Health
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Utawala Fedha na Mipango
      • Elimu Afya na Maji
      • Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili ya Madiwani
      • Uchumi Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Vikao vya Timu ya Uendeshji ya Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mktaba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa UMMA
    • Video za Shoghuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DED ARUSHA DC AKABIDHI GARI KWA SHULE YA SEKONDARI EINOTH KATA YA KISONGO....

Posted on: September 22nd, 2023


Mkurugenzi Mtendaji, halmashauri ya Arusha amekabidhi gari lenye namba za usajili SM 9277  kwa uongozi wa shule ya sekondari Einoth, maalum kwa ajili ya matumizi ya shule hiyo.


Akizungumza wakati wa kukabidhi gari hili lwa Mwenyekiti wa Bodi ya shule, tukio lililofanyika kwenye viwanja vya makao makuu ya halmashauri ya Arusha, Mkurugenzi Mtendaji Seleman Msumi amesema kuwa, ni utaratibu wa halmashauri hiyo,kunaootokea uwepo wa gari, huzigawa kwa shule kubwa za sekondari hususani zile za bweni ili kutatua changamoto za usafiri shuleni.


Amewataka viongozi hao wa shule, kata na kijiji kuhakikisha utunzaji wa gari hilo pamoja na kuzingatia matumizi sahihi yaliyokusudiwa ambayo ni kutoa huduma ya usafiri kwa ajili shughuli za shule kwa walimu, wanafunzi na watalamu wasio walimu shuleni hapo.


Hata hivyo halmashauri ya Arusha, imetekeleza agizo la Mheshimiwa Waziri mkuu kwa halmashauri kuzipa gari shule za bweni ili kutoa huduma za usafiri shuleni


Mwenyekiti wa Bodi ya Shule Saitabau Namoyo, licha ya kuushukuru uongozi wa  halmashauri hiyo kwa kuwapa gari ameweka wazi kuwa gari hilo kitendea kazi muhimu kwa shule yao na limekuja wakati muafa ili kuwahudumia walimu na wanafunzi hasa wale wa bweni pindi inapotokea dharura wakati wa usiku.


"Tulikuwa na uhitaji mkubwa sana wa gari,  kutokana na shule kulazimika kuingia gharama kubwa kukodi gari pindi inaootokea kuna dharura kwa wanafunzi hasa nyakati za usiku, kuwepo kwa gari hili naamini licha ya kupunguza gharama litasaidia kuhudumia wanafunzi kwa uhuru na amani" Ameweka wazi Namoyo.


Hata hivyo mwenyekiti huyo, ameahidi kuhamasisha wazazi kununua gari aina ya 'costa' shuleni hapo kwa ajili ya walimu na wanafunzi wakati wa ziara za kimasomo


Naye Mkuu wa shule ya sekondari Einoth ameshukuru kwa kupatiwa gari na kukiri kuwa gari hilo kitendea kazi muhimu kwa shule hiyo kwa kuwa itawaondolea dhahama waliyokuwa nayo ya kukodi gari kwa ajili ya shuguli za shule jambo ambalo liliwaingiza kwenye gharama kubwa.


ARUSHA DC NI YETU, TUSHIRIKIANE KUIJENGA

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA ENABOISHU FM - ARUSHA DC May 26, 2025
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO 2023 ARUSHA DC June 11, 2023
  • ZIARA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS TAMISEMI, MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA 17 SEPTEMBA 2024 September 13, 2024
  • MTIHANI WA DARASA LA SABA 11-12/09/2024 September 09, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya

  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA CHAKULA BORA

    May 28, 2025
  • VIONGOZI WA DINI WAPEWA ELIMU YA AFYA YA MAMA NA MTOTO

    May 27, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA MKATABA

    May 26, 2025
  • RC MAKONDA ATEMBELEA NA KUKAGUA MRADI WA UJENZI WA MAHAKAMA YA AFRIKA ARUSHA

    May 25, 2025
  • Tazama zote

Video

Video zaidi

Viunganishi vinavyoingiliana

  • Leseni ya vileo
  • Fomu ya ukaguzi

Viunganishi vinavyohusiana

  • Tovuti kuu ya serikali
  • Tamisemi
  • Utumishi portal
  • Wakala wa serikali mtandao
  • Mkoa wa arusha
  • ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana Nasi

    Sekei Road

    Anuani ya posta: 2330 Arusha

    Simu : +255 027 2502737

    Simu: 073 65000476

    Barua pepe: ded@arushadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2018 Arushadc . All rights reserved.